missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
Mbona hawakai sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Manara kajaaliwa mweeh usiombe ukutane nae.Wanawake wa mjini wanakwambia mengine yanavumilika[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hawakai sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Manara kajaaliwa mweeh usiombe ukutane nae.Wanawake wa mjini wanakwambia mengine yanavumilika[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo huyo, bibie anadai talaka, Ila kiasi adai jamani....mtu hata mwaka bado unaletewa mke mpyaaa, kajionea ya nini mieee![emoji1787][emoji1787]
[emoji1787]Anawapa nini ??mi namuonaga manara anatisha
Mbona hawakai sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787]
🤣 Mdomo komaaaWe unaonaje?
Wagawane Mali anataka bi SarahKwan kuna kitu anahitaji kulipwa?
Khakhakhaaaa!!Anawapa nini ??mi namuonaga manara anatisha
Eeeh nasikia kitambo sana. Ila si Kazaa na mtu mwingine? Niko hovesMaanake alikuwa nae toka kitambo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]mkwe ngoja nikae kimya buree naogopaa kusutwaaa
Mtoto mchanga au unasemea binti mkubwa rafiki wa paulaEeeh nasikia kitambo sana. Ila si Kazaa na mtu mwingine? Niko hoves
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Ndiooo... na sifa mojawapo kubwa ya kisukari ni kupunguza nguvu za kiumeEee ana kisukari?
Uislamu inaalalisha Sana uzinz kwa gia Kali Sana uwez jua Kama huna akiliHii sio dini nakataaa ni uzinzi tu kama uzinzi mwingine,hawa kina Haji hatuwaoni kwenye jambo lolote la dini zaidi ya upuuzi upuuzi na mauzinzi yao kwa jina la sunna
Eheee labda ni type nyingineNdiooo... na sifa mojawapo kubwa ya kisukari ni kupunguza nguvu za kiume
Yani nacheka Kama hayasikitishi🤣🤣🤣, alijikuta yeye special labda, Ila Haji kiboko....ndoa ina miezi minne mtu kashapandishwa cheo![emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]PA kawa Wife Assistant alivyoingia Kwa sifa alidhanije kwani[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]halooooooo mbona mbonaaa!!!
Aliona Naheeda kachelewa eehhh!akae TU na yeye jamanii asiondoke bwanaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!!
Aliingia Kwa matishtiti Bora mwenziwe alikula haya ramadhani moja yeye hasta mwezi haujapinduka kaolewewa mke mwenziwe
Hayo mapenzi itakuwa version mpya hiyo....afungue chuo na hawa mashomvi wengine wakajifunze🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mapenzi tu anawapa
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara katika picha mara baada ya kufunga ndoa kwa mke wake wa pili jioni ya Alhamisi Aprili 14, 2022
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]angesubir hata mwaka jamani kaahh..Yani nacheka Kama hayasikitishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787], alijikuta yeye special labda, Ila Haji kiboko....ndoa ina miezi minne mtu kashapandishwa cheo!
Kilobaki tuanze kampeni Haji amuoe Dida tuone nani zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]