Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Kuna mke mmoja wa Manara alisema hakuna mwanamke atakayeweza kuishi na Manara hata wao walimvumilia yakawashinda sijui jamaa huwa ana shida gani maana kwa umri wake kuhangaika na ndoa inaonyesha kuna kitu hakipo sawa kwake.
Ni simple logic wengi wanaolewa naye kwa sababu maslahi,sio rahisi mwanamke ngozi nyeusi aolewe na zeruzeru-ashakumu sio matusi.
 
Watakaaa ?? Ngoja tuone [emoji1787]
Kukaa na manara kunahitaji moyo wa chuma Ana gubu yeye na ndugu zake as you know wazaramo plus wamanyema,wamama wa kimanyema wa asili ya kukumbatia watoto wao wa kiume kama yai, wazaramo Wana midomo,na yasemekana Haji Sasa hivi ndo mzungu wao wa ukooo hvyooo familia nzimaa yeye ndo boss wanajazana kibaoo!Sasa hakuna Ile privacy ya mke na mume na maamuzi yanafanywa kiukoo Si unajua extended family za wabongo eehh!!
Na Manara anawapenda ndugu zake kufaa yaani Bora aache wake zote but not his family yaani chochote wanachosema familia tawilee na Ana huruma Sana haji kwa kwa nduguze
Sasa Naheeda alishindwa hayo mambo ,maana alikua wakishua uzungu mwingi,ndo maana alikua anatoroka anarudi kwao,yakimshinda,Mara nyingi alikua anatoroka na aliachwa Mara ya kwanza akarudiwa baada ya maneno ya watu Nadhani last year Ile...mwaka huu alovyotoroka Tena ndo Haji akaambiwa akampotezea akaoa rubayna.
Kudumu hapo ngoja tuone wale wazarami watatuliza midomo
 
Kukaa na manara kunahitaji moyo wa chuma Ana gubu yeye na ndugu zake as you know wazaramo plus wamanyema,wamama wa kimanyema wa asili ya kukumbatia watoto wao wa kiume kama yai, wazaramo Wana midomo,na yasemekana Haji Sasa hivi ndo mzungu wao wa ukooo hvyooo familia nzimaa yeye ndo boss wanajazana kibaoo!Sasa hakuna Ile privacy ya mke na mume na maamuzi yanafanywa kiukoo Si unajua extended family za wabongo eehh!!
Na Manara anawapenda ndugu zake kufaa yaani Bora aache wake zote but not his family yaani chochote wanachosema familia tawilee na Ana huruma Sana haji kwa kwa nduguze
Sasa Naheeda alishindwa hayo mambo ,maana alikua wakishua uzungu mwingi,ndo maana alikua anatoroka anarudi kwao,yakimshinda,Mara nyingi alikua anatoroka na aliachwa Mara ya kwanza akarudiwa baada ya maneno ya watu Nadhani last year Ile...mwaka huu alovyotoroka Tena ndo Haji akaambiwa akampotezea akaoa rubayna.
Kudumu hapo ngoja tuone wale wazarami watatuliza midomo

Na ukiolewa na mwanaume anaesikiliza ndugu zake utakoma mbona
Mama anapenda ndugu zake kheri yake pia Ila ukioa unatakiwa ubalance mambo
Umeona saraha mzungu kaenda mahakaman kumshitaki harmo?
 
Kishaumana hukoo, mke Yuko kwao anasubiri talaka.
[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]PA kawa Wife Assistant alivyoingia Kwa sifa alidhanije kwani[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]halooooooo mbona mbonaaa!!!
Aliona Naheeda kachelewa eehhh!akae TU na yeye jamanii asiondoke bwanaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!!
Aliingia Kwa matishtiti Bora mwenziwe alikula haya ramadhani moja yeye hasta mwezi haujapinduka kaolewewa mke mwenziwe
 
[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]PA kawa Wife Assistant alivyoingia Kwa sifa alidhanije kwani[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]halooooooo mbona mbonaaa!!!
Aliona Naheeda kachelewa eehhh!akae TU na yeye jamanii asiondoke bwanaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!!
Aliingia Kwa matishtiti Bora mwenziwe alikula haya ramadhani moja yeye hasta mwezi haujapinduka kaolewewa mke mwenziwe

Umemsikia mama manara alivyoongea?kaangalie kwa juma lokole eti ooh mwanangu iwe ndoa ya mwisho sasa,jumla hii ndoa ya tano
 
Huyo huyo, bibie anadai talaka, Ila kiasi adai jamani....mtu hata mwaka bado unaletewa mke mpyaaa, kajionea ya nini mieee![emoji1787][emoji1787]
Ila nayeye alipaswa ajiongeze alidhani anaweza mbadilisha haji ATI,hats huyu Rushaynah nae asijione kapata saana!kukaa na wamanyema wale kipaji
 
Ila nayeye alipaswa ajiongeze alidhani anaweza mbadilisha haji ATI,hats huyu Rushaynah nae asijione kapata saana!kukaa na wamanyema wale kipaji

Huhuuu raha ya mchezo ingia ndani ucheze
 
Nenda page yake ya insta, caption za kulia lia....halafu huyu kaolewa Manara yupo na Nahida, Nahida akajitoa....!
Shida njaaa shoga angu kupenda show off na maisha ya juu...Manara anakwambia anaishi appartment ye ndo mweusi majirani wote wazungu[emoji1787], Chezea kualikwa iftar ubalozi wa Uturuki....hapo unaingia mansion za kina GSM unavyotaka! Ndo wadada WA mjini kupenda makubwa wanajipeleka.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]anakaa Masakii jamanii
 
Halafu kipindi anaolewa Manara anahojiwa alisema kabisa nitaongeza mke mwingine, huyu amekubali kuolewa mke wa pili hivo hawezi kukataa nikiongeza....sasa hivi mwenzie analia lia
Shida kisu hikooo balaaa[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]!!!mrembo mnoooo Rushaynah
 
Unadhan ukiwa na ndugu wana uwezo Ndio wataweza kukusaidia au kukuinua shoga ni wachache,
Nimeona video mama yake haji anasema yule Ruby kaumia yupo nae katika kipindi hikikigumu [emoji23][emoji23][emoji23] kama namuona Ruby maskin
[emoji38]anasema TU Ila ndo ashaoa na wanaona aibu maana wao ndo wanajya why anaacha wake Kila siku na kuoa,walivomuambia naheeda aachwe walidhanije?unaafiki tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa kinamuuma nini wakati na yeye alimkuta mwenzake!
Na huyo mama mtu nae anamdekeza mwanae, anamsupport, kila akienda kuoa mama yupo.
Wamama wa Kimanyema plus Zaramo Wana guubu balaaa kwanza wanadhani wakwe wanafaidi kuliko wao ndoa ya 5 hyoo ,anaona haya TU na aibu ,ukitaka kujua wamanyema Wana shida muangalie Daimond na Kiba ndoa zao Kila siku mahusiano yanayumba wamama Hawa Wana magubuuu
 
Na ukiolewa na mwanaume anaesikiliza ndugu zake utakoma mbona
Mama anapenda ndugu zake kheri yake pia Ila ukioa unatakiwa ubalance mambo
Umeona saraha mzungu kaenda mahakaman kumshitaki harmo?
Afu Wana gubu la kimanyema Sasa wee
Nimeona ngoja tuone watamaliza vipi harmo nae akishangaa kafilisika,muache tu
 
Umemsikia mama manara alivyoongea?kaangalie kwa juma lokole eti ooh mwanangu iwe ndoa ya mwisho sasa,jumla hii ndoa ya tano
Kwanza bimkubwa alipaswa akae kimya akatae kuhojiwa ingekua Bora zaidi,ndoa tanoo...Kuna shida mahala Kwa Haji
 
Back
Top Bottom