Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Huyo huyo, bibie anadai talaka, Ila kiasi adai jamani....mtu hata mwaka bado unaletewa mke mpyaaa, kajionea ya nini mieee!🤣🤣
Tupe ubuyu basi imekuwaje na umejuaje? Kwani wakati wanakubali kuolewa walikuwa hawajui au hawamjui manara
 
Tupe ubuyu basi imekuwaje na umejuaje? Kwani wakati wanakubali kuolewa walikuwa hawajui au hawamjui manara
Nenda page yake ya insta, caption za kulia lia....halafu huyu kaolewa Manara yupo na Nahida, Nahida akajitoa....!
Shida njaaa shoga angu kupenda show off na maisha ya juu...Manara anakwambia anaishi appartment ye ndo mweusi majirani wote wazungu🤣, Chezea kualikwa iftar ubalozi wa Uturuki....hapo unaingia mansion za kina GSM unavyotaka! Ndo wadada WA mjini kupenda makubwa wanajipeleka.
 
Nenda page yake ya insta, caption za kulia lia....halafu huyu kaolewa Manara yupo na Nahida, Nahida akajitoa....!
Shida njaaa shoga angu kupenda show off na maisha ya juu...Manara anakwambia anaishi appartment ye ndo mweusi majirani wote wazungu🤣, Chezea kualikwa iftar ubalozi wa Uturuki....hapo unaingia mansion za kina GSM unavyotaka! Ndo wadada WA mjini kupenda makubwa wanajipeleka.
Huhuuuu huuu nimeenda soma comment watu wanampa pole avumilie tu hakuna anaependa ukewenza kiukweli kila mtu hupenda awe peke yake
 
Hii sio dini nakataaa ni uzinzi tu kama uzinzi mwingine,hawa kina Haji hatuwaoni kwenye jambo lolote la dini zaidi ya upuuzi upuuzi na mauzinzi yao kwa jina la sunna
Anatumia uislam kuhalalisha uzinzi wake.
 
Huhuuuu huuu nimeenda soma comment watu wanampa pole avumilie tu hakuna anaependa ukewenza kiukweli kila mtu hupenda awe peke yake
Halafu kipindi anaolewa Manara anahojiwa alisema kabisa nitaongeza mke mwingine, huyu amekubali kuolewa mke wa pili hivo hawezi kukataa nikiongeza....sasa hivi mwenzie analia lia
 
Halafu kipindi anaolewa Manara anahojiwa alisema kabisa nitaongeza mke mwingine, huyu amekubali kuolewa mke wa pili hivo hawezi kukataa nikiongeza....sasa hivi mwenzie analia lia

Yajayo yanachekesha halaf kama wanakubali kwanin mke mkubwa hahudhurii harusi ya mwenzie si ndio inatakiwa hivyo?
 
Dini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.

Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?

Jibu ni no,

Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?

Jibu ni no,

Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
Hatimae yamejiri

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
so ni ngumu sana kukuta mke wa pili na watatu wana sura ngumu kama mke wa kwanza,Wake wote wataokuja ni lazima wawe viwembe ila watakua wazuri,warabu,masingasinga ila Upendo ule wenyewe alieupata ni Mke wa kwanza wengine hamna kitu.

Kama kigezo ni uzuri kwa nini ni lazima awe Mwarabu au masinganga kama ulivyosema?
 
Yajayo yanachekesha halaf kama wanakubali kwanin mke mkubwa hahudhurii harusi ya mwenzie si ndio inatakiwa hivyo?
Mume anauma! Kuhudhuria mchezo, mi aliniuma Yule Naheeda, binti mdogo, afu likurubebembe lile kwenda kumtia stress za uke wenza.....huyu wa sasa hivi legendary, watamalizana kiutuuzima.
 
Mume anauma! Kuhudhuria mchezo, mi aliniuma Yule Naheeda, binti mdogo, afu likurubebembe lile kwenda kumtia stress za uke wenza.....huyu wa sasa hivi legendary, watamalizana kiutuuzima.
Na yule alikuwa mke ndo maana hawakuwezana maana alihitaji mume sijui nani alimdanganya akauvaa huu mkenge
 
Mume anauma! Kuhudhuria mchezo, mi aliniuma Yule Naheeda, binti mdogo, afu likurubebembe lile kwenda kumtia stress za uke wenza.....huyu wa sasa hivi legendary, watamalizana kiutuuzima.

Haya watajuana wenyewe
Sie yetu macho
 
Na yule alikuwa mke ndo maana hawakuwezana maana alihitaji mume sijui nani alimdanganya akauvaa huu mkenge
Inashangaza, mtu dada Ake DC, shemeji waziri halafu unaenda kuolewa na Msemaji, Kama ni njaa si Bora angeomba mtaji afanye biashara....Bora hata kudanga kuliko kuolewa na Yule Mzungu....mwanaume gani anachamba vile! Kwanza anaonekana pale gubu ni nyumbani kwao.
 
Chombo ya fundi
IMG-20220927-WA0102.jpg
IMG-20220927-WA0103.jpg
 
Inashangaza, mtu dada Ake DC, shemeji waziri halafu unaenda kuolewa na Msemaji, Kama ni njaa si Bora angeomba mtaji afanye biashara....Bora hata kudanga kuliko kuolewa na Yule Mzungu....mwanaume gani anachamba vile! Kwanza anaonekana pale gubu ni nyumbani kwao.

Unadhan ukiwa na ndugu wana uwezo Ndio wataweza kukusaidia au kukuinua shoga ni wachache,
Nimeona video mama yake haji anasema yule Ruby kaumia yupo nae katika kipindi hikikigumu [emoji23][emoji23][emoji23] kama namuona Ruby maskin
 
Dini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.

Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?

Jibu ni no,

Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?

Jibu ni no,

Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
We umejuaje ? Na nani kakwambia ni mke wa pili
 
Back
Top Bottom