Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Wee peku u know nothing about Islam. Nyie mke mmoja vimada 20, mapadri hawaoi wanalawiti, masister hawaolewi lakini wanaliwa, hamna talaka lakini mnaachana, kwa ufupi kizunguzungu tu
Nilitegemea wakristo na waislanu tuungane kulaani kauli yake dhidi ya kukosea heshima wauislamu na uislamu,badala yake na we umekuwa yy,hata mm hayo ya kulawiti ningeweza sema dini inayoongoza ila nachukulia sheikh mpuuz hafanyi uislamu uwe upuuz ,uislamu nauheshimu na waislam ni ndugu zangu
 
Hivi ni kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza anayeanza naye maisha anaukuwa mweusi Mwafrika akipata hela kufanikiwa mke wa pili ni mwarabu/nusu Mwarabu na ni Waislamu wote wa Tanzania isipokuwa labda Raisi Shein yeye angalau huonekana na Mke wake wa zamani.

Na mzee Mengi pia
 
mshahara wa milioni9 anazolipwa na GSM zimeanza kumkologa sasa
 
Hizi make-up nyingine Ni kichefuchefu
Mwanamke kawa Kama jini [emoji3525]
Binafsi siyaoendi ikitokea nikaoa nitamwambia nitakaye muoa siku ya harusi uje umepaka mafuta yako ya mngando au losheni hayo ma makeup na malipstick utajikunbatia na kujibusu mwenyewe[emoji2][emoji3577]
 
Hivi ni kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza anayeanza naye maisha anaukuwa mweusi
Mke wa kwanza huwa ni Real Wife upendo ndio uliwafanya wakawa mke na mume,yani mke wa kwanza ndio maana halisi ya upendo.

Tunapokuja kwenye mke wa pili,pale hamna ule upendo kama wa mke wa mwanzo,zile mimi naonaga ni tamaa za mwili kwa mwanaume na mwanamke.

Mwanaume hapa ndio anaweka vigezo vya amtakae,awe vipi,aonekanaje,yani anajichagulia kitu nafsi inataka.

kadhalika na mwanamke nae hakukubaliii tu ila nae kuna vitu vyake kashajiridhisha navyo ndipo anakubali,hvyo sec wife upendo upo kwenye material" hamna ile pure love.

Pure love always ipo kwa mke wa kwanza pale ndio penye chem chem ya mahaba,ila hawa wanaokuja,wote wanakuja kwa kuangaliwa specification zao,Mtu anaangalia RAM ngapi,Storage Ngapi,Android version ipi,nk nk

so ni ngumu sana kukuta mke wa pili na watatu wana sura ngumu kama mke wa kwanza,Wake wote wataokuja ni lazima wawe viwembe ila watakua wazuri,warabu,masingasinga ila Upendo ule wenyewe alieupata ni Mke wa kwanza wengine hamna kitu.
 
Back
Top Bottom