Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadada wazuri wale hawajazaa bado kila mtu na moyo wake nyie kweli roho ngumukweli aisee kuna wanawake wenzetu wana roho ngumu.
Kutana nae usiku mnene sasa alivyoshikilia mishoga utajua hujui!Wanawake sie
Pesa zake...alivyo vile halafu awe apeche alolo angempata Nani?Anawapa nini ??mi namuonaga manara anatisha
Unataka kusema Bi Hadija ndie aliyependwa sana na Mtume kuliko wake wengine?Mke wa kwanza huwa ni Real Wife upendo ndio uliwafanya wakawa mke na mume,yani mke wa kwanza ndio maana halisi ya upendo.
Tunapokuja kwenye mke wa pili,pale hamna ule upendo kama wa mke wa mwanzo,zile mimi naonaga ni tamaa za mwili kwa mwanaume na mwanamke.
Mwanaume hapa ndio anaweka vigezo vya amtakae,awe vipi,aonekanaje,yani anajichagulia kitu nafsi inataka.
kadhalika na mwanamke nae hakukubaliii tu ila nae kuna vitu vyake kashajiridhisha navyo ndipo anakubali,hvyo sec wife upendo upo kwenye material" hamna ile pure love.
Pure love always ipo kwa mke wa kwanza pale ndio penye chem chem ya mahaba,ila hawa wanaokuja,wote wanakuja kwa kuangaliwa specification zao,Mtu anaangalia RAM ngapi,Storage Ngapi,Android version ipi,nk nk
so ni ngumu sana kukuta mke wa pili na watatu wana sura ngumu kama mke wa kwanza,Wake wote wataokuja ni lazima wawe viwembe ila watakua wazuri,warabu,masingasinga ila Upendo ule wenyewe alieupata ni Mke wa kwanza wengine hamna kitu.
Kama ndie mke wa kwanza,Jibu ni NDIO.Unataka kusema Bi Hadija ndie aliyependwa sana na Mtume kuliko wake wengine?
Duh!Ameshindwa kudumu na Simba ndo iwe ndoa?
Imebaki Sasa Wadau walete Posa Kariakoo ili tujue moja.Kwa wastani jamaa kila baada ya miezi 4 anaoa.
Atawapa sh ngapi labda wewe matajiri hao wanawake ,Yaan kuna yule mkaka anaigiza na mama kimbo yeye ni mzuri au yule albinofulan anaishi Us lakin kila mtu na chaguo lake akiiiPesa zake...alivyo vile halafu awe apeche alolo angempata Nani?
Wanamsemaga nae ana skendo hizoKutana nae usiku mnene sasa alivyoshikilia mishoga utajua hujui!
Leo kaowa tenaKWANN HUU UZI UMEAMKA?
Halafu sio mara moja ya mwisho ni wiki iliyopita tu hapa kazungukwa na mishoga huku na huko…ila chs kujiuliza hawa mabinti wanaodhalilishwa kwa jina ndoa wana familia kweli au ndo walishakata ringiWanamsemaga nae ana skendo hizo
Wazazi huwa wanapenda watoto wao waolewe na mtu mwenye uwezo na maarufu sasaHalafu sio mara moja ya mwisho ni wiki iliyopita tu hapa kazungukwa na mishoga huku na huko…ila chs kujiuliza hawa mabinti wanaodhalilishwa kwa jina ndoa wana familia kweli au ndo walishakata ringi
Kishaumana hukoo, mke Yuko kwao anasubiri talaka.Wataachana tu ramadhan ikiisha
Yupi yule mwenye macho makubwaKishaumana hukoo, mke Yuko kwao anasubiri talaka.
Wala hairuhusu, tena Allah anamchukia mtu anayeoa na kuacha ovyoYani dini inaruhusu uchafu kama huu??? Aibu sana dini hii.
Huyo huyo, bibie anadai talaka, Ila kiasi adai jamani....mtu hata mwaka bado unaletewa mke mpyaaa, kajionea ya nini mieee!🤣🤣Yupi yule mwenye macho makubwa