Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Muangalie vizur manara usoni utanielewa

Au Chukulia manara angekua kapuku lakini angepata demu/mke tu

Wanawake wana huruma sana
Manara alishakua kapuku sana, zaidi ya kapuku.

Akaoa wake wawili, akawapeleka Magomeni kuishi na mama yake.

Walikuwa wanahudumiwa na mama yake.
 
Hivi ni kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza anayeanza naye maisha anaukuwa mweusi Mwafrika akipata hela kufanikiwa mke wa pili ni mwarabu/nusu Mwarabu na ni Waislamu wote wa Tanzania isipokuwa labda Raisi Shein yeye angalau huonekana na Mke wake wa zamani.
Ushaona mtu tajiri gari zake zote ni za aina moja na rangi mojamoja?
 
Ushaona mtu tajiri gari zake zote ni za aina moja na rangi momoja..?

Lkn kwa nini isiwe kinyume chake yaani waanze na Waarabu halafu wakitajirika ndio waoe Waafrika weusi ?
 
Manara alishakua kapuku sana, zaidi ya kapuku.
Akaoa wake wawili, akawapeleka magomeni kuishi na mama yake.
Walikuwa wanahudumiwa na mama yake.
Ndio maana nasema wanawake mna huruma sana

Muandaliwe zawadi ya mvinyo huko peponi
 
Lkn kwa nini isiwe kinyume chake yaani waanze na Waarabu halafu wakitajirika ndio waoe Waafrika weusi ?
Muarabu ili umuoe inabidi akupende mwenyewe au uwe na pesa.

Maisha tunayoishi kama mimi hapa sina connection na waarabu na sina pesa ya kuoa kwa mwarabu kwa sasa kwa sababu inahitaji gharama na akupende kweli.

Ukiwa na pesa atakupenda tu ndio maana watu wanaoa waarabu wakishakuwa na pesa.

Na sidhani kama kuna ubaya kutumia pesa zako kuoa mtu unayemtaka.
 
Muarabu ili umuoe inabidi akupende mwenyewe au uwe na pesa.

Maisha tunayoishi kama mimi hapa sina connection na waarabu na sina pesa ya kuoa kwa mwarabu kwa sasa kwa sababu inahitaji gharama na akupende kweli...

OK, kwa hiyo na wewe lengo ni siku moja kuoa Mwarabu?
 
OK, kwa hiyo na wewe lengo ni siku moja kuoa Mwarabu ?
Uarabu kwangu mimi sio kigezo cha kuoa.

Nitaoa yule ambaye atanipendeza anaweza kuwa hata zeruzeru maadamu kanipendeza na uwezo ninao.

Anaweza kuwa muafrika maadamu kanipendeza na uwezo ninao

Anaweza kuwa mzungu maadamu kanipendeza na uwezo ninao.
 
Uarabu kwangu mimi sio kigezo cha kuoa.

Nitaoa yule ambaye atanipendeza anaweza kuwa hata zeruzeru maadamu kanipendeza na uwezo ninao.

Anaweza kuwa muafrika maadamu kanipendeza na uwezo ninao

Anaweza kuwa mzungu maadamu kanipendeza na uwezo ninao.

Kwa hiyo hauna upendeleo wa yupi ungependelea zaidi kuoa na kuishi naye? Hauna“mwanamke wa ndoto yako“ aweje ?
 
Hivi ni kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza anayeanza naye maisha anaukuwa mweusi Mwafrika akipata hela kufanikiwa mke wa pili ni mwarabu/nusu Mwarabu na ni Waislamu wote wa Tanzania isipokuwa labda Raisi Shein yeye angalau huonekana na Mke wake wa zamani.
Kwa hiyo ukimwangalia huyo bi harusi unamuona Ni mwarabu au sio?
 
Dini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je manara ana baraka za mkewe mkubwa?

Jibu ni no,

Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,


Kama hivyo ,basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa .,
Wewe ndio mke wa kwanza wa manara nini? Sorry lakini nimeuliza kulingana na unavyojibu NO.
 
Kwa hiyo hauna upendeleo wa yupi ungependelea zaidi kuoa na kuishi naye? Hauna“mwanamke wa ndoto yako“ aweje ?
Mwanamke wa ndoto yangu ni yule ambaye nitamridhia mimi na nitaishi naye kwa upendona urafiki haijalishi yuko vipi.

Mimi nimeshaoa tayari naishi na mke wangu sina mpango wa kuongeza mke nina mpango wa kuongeza pesa tu.
 
Mwanamke wa ndoto yangu ni yule ambaye nitamridhia mimi na nitaishi naye kwa upendona urafiki haijalishi yuko vipi.

Mimi nimeshaoa tayari naishi na mke wangu sina mpango wa kuongeza mke nina mpango wa kuongeza pesa tu.

Hongera sana kwa kumpata Mke wa ndoto yako!
 
Muarabu ili umuoe inabidi akupende mwenyewe au uwe na pesa.

Maisha tunayoishi kama mimi hapa sina connection na waarabu na sina pesa ya kuoa kwa mwarabu kwa sasa kwa sababu inahitaji gharama na akupende kweli.

Ukiwa na pesa atakupenda tu ndio maana watu wanaoa waarabu wakishakuwa na pesa.

Na sidhani kama kuna ubaya kutumia pesa zako kuoa mtu unayemtaka.
Kweli kabisa Lakin Lakin mke wa pili wa haji manara sio mwarabu
 
Back
Top Bottom