Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Ila huyu jamaa anapenda zinaa
Ameoa kihalali kwa mujibu wa dini inayoruhusu ndoa ya zaidi ya mke mmoja zinaa inakujaje hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu jamaa anapenda zinaa
Sawa shemeji.Mbona kama unateseka na maisha binafsi ya mtu? Yaani wewe unajua maisha ya Manara kiasi hicho acha utani na kufatilia maisha ya watu
Maharusi wamevaa rangi za MAKOLO.Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara katika picha mara baada ya kufunga ndoa kwa mke wake wa pili jioni ya Alhamisi Aprili 14, 2022
Dini gani hiyo? tuanzie hapoDini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo ,basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa .,
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kuna bolt imepita kwenye washelSasa mtu kashachezewa washeri anatoa nguvu wapi?
Yan hutaki ....Unampangia maisha ....dah kazi ipo adse [emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa lulu hata mie sitaki apake make up, yaan anakua vyedi, kuliko akijilipua na madoido sijui anakuaje hata.
Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara katika picha mara baada ya kufunga ndoa kwa mke wake wa pili jioni ya Alhamisi Aprili 14, 2022
Hivi ni kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza anayeanza naye maisha anaukuwa mweusi Mwafrika akipata hela kufanikiwa mke wa pili ni mwarabu/nusu Mwarabu na ni Waislamu wote wa Tanzania isipokuwa labda Raisi Shein yeye angalau huonekana na Mke wake wa zamani.
Hivi nikiwa muslim nikaoa wake wawili, nitarihusiwa kula 3some?....
Nawaza tu kwa sauti....
[emoji23][emoji23][emoji23]
Uislamu hausemi ivoDini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo ,basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa .,
Unasema kuhusu mke wa pili?Uislamu hausemi ivo
Ttzo we mkristo hlf unatka kujifanya unayajua mambo ya UislamuUnasema kuhusu mke wa pili?
Ni lazima uombe idhini kwa mkeo mkubwa.
Hivi unadhani kumwambiya mke unataka kuoa mke wa pili ni purukushani ndogo?
Mkuu, hebu fafanua!Wanawake wana huruma sana
Aiseee makafiri chuki zenu mbaya sanaDini ya kiislamu ni uchafu uchafu wa kunuka
Ile ndoa iliyopita iliyokuwa ya kishindo, ambayo GSM alitoa mchango wa M10 (kwa mujibu wa Hans Pop wakati ule wa sakata la Haji na Barbra) haikuwa ya kwanza! Hivyo, huyu ni ndoa ya zaidi ya pili!Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara katika picha mara baada ya kufunga ndoa kwa mke wake wa pili jioni ya Alhamisi Aprili 14, 2022