Picha: HAMAS wakusanywa kama mifugo, huku Netanyahu akiamrisha waendelee kujisalimisha

Picha: HAMAS wakusanywa kama mifugo, huku Netanyahu akiamrisha waendelee kujisalimisha

Wengi wanaona isiwe tabu, hawana haja na mabikira ya kule akhera....

View attachment 2842895


Israel’s Prime Minister Benjamin Netanyahu on Sunday called for Hamas militants to lay down their arms, saying the Palestinian Islamist group’s end was near, as the war in the Gaza Strip raged more than two months after it began.
“The war is still ongoing but it is the beginning of the end of Hamas. I say to the Hamas terrorists: It’s over. Don’t die for (Yahya) Sinwar. Surrender now,” Netanyahu said in a statement, referring to the chief of Hamas in the Gaza Strip.
We kichaa Mossad wamenda Qatar kusalim Amri na we unaleta ujinga hapa.
 
Uharo mtupu hao ndiyo Hamas? 😂 endelea kuwalisha uharo mapunguani wenzako mabwana zenu wameshindwa vita wanakamata raia wanawatesa
Huyu sijui anatoa wapi habari Mossad wako Qatar wanawapigia magoti Hamasi ili wasimamishe vita, wapate kutoa vifaru vyao na askari wao na yeye analeta ujinga japa eti Hamasi wamejisalimisha 😄
 
Mkuu hongera kwa dini yenu yenye Mungu mmoja hana mshirika na anajua lugha moja tu ya kiarabu. Mkuu naomba kuuliza je Allah ana mkalimani?

incharge Malaria 2 ITR
Kwani we Mungu wako aliongea kiswahili? Yesu ulimuona anaongea kizungu au kifaransa? Kumbe Mungu ana lugha moja tu? Mimi navyo fahamu Allah hata ukiongea kama bubu anakufahamu? Sa sijui wewe nani kakudanganya Allah anaongea lugha moja tu?

Kushusha Qur'an kwa kiarabu si kwamba hafahamu lugha zingine, kwani bibilia ilishushwa kwa lugha kiswahili na Yesu?

Mkiambiwa Ukristo ni ujinga mnabisha, nawakati mnao kabisa.
 
Shetani ni mbaya sana, aliwaingia October 7 kushambulia Israel ili hamasi wamalizwe baada ya shambulio lile, hakuna nchi ambayo inaweza kuvumilia ushenzi ule, magaidi wanaweza kuchezea nchi za Ulaya na America, hizi nchi zina huruma sana, wanajali sana haki za binadamu lakini magaidi kuchezea nchi kama
1. Israel 2.Rusia 3. China 4.Turkey ni hatari kwa maisha yao, huwezi chezea hizo nchi ukasurvive, kama wanataka wakachezee France, UK, USA, Germany, Spain, Italy , Canada hapo wakikamatwa wanafungwa tu vifungo vya maisha na huku wanakula na kulala vizuri kwenye magereza ya nchi hizo
Mmekomboa magaidi mangapi ya kizayuni mpaka leo au wale wale 250 ndio mlo wakomboa?
 
Mossad wanamsaka huko huko mapangon
Mossad hawa hawa waloshindwa kuwasaka magaidi wao waliotekwa na wapigania uhuru wa hamas
Mossad wanaweza kukupata ukiwa huna ulinzi ila ukiwa unalindwa hata ufichwe ndani ya israhell hawakupati ng'00
 
Mungu ibariki Israeli. Walaaniwe magaidi wote pamoja na wafuasi wao kama vile ulivyomlaani Kaini baada ya kumwua Abel. Na watu wote waseme Amen.
Mungu hawez kuwabariki waabudu ushoga na usagaji
Hamas kundi teule
 
Mimi habari yoyote kama haijaletwa au kuthibitishwa na hao uliowataja na wenzao kwangu inabaki kuwa ni Fweki Nyuzi tu.
Hao akina Ritz,Faiza,adios amigo,always na maralia wanajiona wao ndo wana hati miliki ya ukweli.Ngoja wamalize kula tende na halua
 
Uharo mtupu hao ndiyo Hamas? [emoji23] endelea kuwalisha uharo mapunguani wenzako mabwana zenu wameshindwa vita wanakamata raia wanawatesa
Mabwana zako hamas wanapelekewa moto hadi wanaogopa kwenda lupiga mayi na kula mbususu sabini kule Janna.
 
We kichaa Mossad wamenda Qatar kusalim Amri na we unaleta ujinga hapa.
Nachowapendea mossad ni uvumilivu wao wanaposaka target yao.Huyo aloshafanyiwa booking ya mto wake wa pombe pamoja na mbususu 72.Ni suala la muda tu
 
Huyu sijui anatoa wapi habari Mossad wako Qatar wanawapigia magoti Hamasi ili wasimamishe vita, wapate kutoa vifaru vyao na askari wao na yeye analeta ujinga japa eti Hamasi wamejisalimisha [emoji1]
Endeleeni kudanganywa na ustadh Mazinge
 
Hao akina Ritz,Faiza,adios amigo,always na maralia wanajiona wao ndo wana hati miliki ya ukweli.Ngoja wamalize kula tende na halua
Hizo fikra zako kila mmoja alete habari zake watu wasome kisha wataona upi ukweli propaganda ni nyingi mno ukiwa shabiki mandazi unanasa labda nikuulize wewe hao raia wa Palestina wanaonyeshwa ni Hamas?
 
Wengi wanaona isiwe tabu, hawana haja na mabikira ya kule akhera....

View attachment 2842895


Israel’s Prime Minister Benjamin Netanyahu on Sunday called for Hamas militants to lay down their arms, saying the Palestinian Islamist group’s end was near, as the war in the Gaza Strip raged more than two months after it began.
“The war is still ongoing but it is the beginning of the end of Hamas. I say to the Hamas terrorists: It’s over. Don’t die for (Yahya) Sinwar. Surrender now,” Netanyahu said in a statement, referring to the chief of Hamas in the Gaza Strip.
Hapo hakuna hata Mwanajeshi mmoja wa Hamas wa kukamatwa kizembe na hao watoto wa mama wanaotegemea ndege na vifaru kuwasaidia! Isipokuwa kuna raia tu waliobebwa kwa nguvu kutoka kwenye majumba yao, kwa ajili ya propaganda.

Kama wanawataka Hamas, waingie kwenye hayo mahandaki yao halafu wakione cha mtema kuni.
 
Back
Top Bottom