Picha: HAMAS wakusanywa kama mifugo, huku Netanyahu akiamrisha waendelee kujisalimisha

Mungu ibariki Israeli. Walaaniwe magaidi wote pamoja na wafuasi wao kama vile ulivyomlaani Kaini baada ya kumwua Abel. Na watu wote waseme Amen.
Tulia wewe! Hayo ni Mayahudi tu makatili na mauaji. Wacha yashughulikiwe ipasavyo.
 
hata lugha navyo vimeumbwa m,mungu asingevitaka visingekuwepo vipo kwamaana ametaka viwepo
 
Mmh tako ndembendembe anakidundisha mulemule
hao ni wazungu wanaporosha ulimwengu wakidhani kutoa vitu kama hivyo mataifa ya kiarabu yatawaunga mkono nakupitisha sheria ya jinsia moja LGBTQ ni kitu hakiwezekani mutabaki nayo nyie wabarikiwa
 
hao ni wazungu wanaporosha ulimwengu wakidhani kutoa vitu kama hivyo mataifa ya kiarabu yatawaunga mkono nakupitisha sheria ya jinsia moja LGBTQ ni kitu hakiwezekani mutabaki nayo nyie wabarikiwa
Wayahudi na waarabu ndio washenzi bwana achana na wazungu watu wakubwa wanaojielewa
 
Wayahudi na waarabu ndio washenzi bwana achana na wazungu watu wakubwa wanaojielewa
wanajielewa wangeoana LGBTQ hawana akili maji yapo wanachambia makaratasi wameona wahalalishe kufuamuana marinda unasema wanajielewa kisha bado wakatoa baraka kuhalalisha LGBTQ ila sikushangai mbarikiwa
 
wanajielewa wangeoana LGBTQ hawana akili maji yapo wanachambia makaratasi wameona wahalalishe kufuamuana marinda unasema wanajielewa kisha bado wakatoa baraka kuhalalisha LGBTQ ila sikushangai mbarikiwa
karib sait tubebe tofar mkuu
 
Kama wanawataka Hamas, waingie kwenye hayo mahandaki yao halafu wakione cha mtema kuni.
Waingie wapi bwege wewe wanawekewa chumvi na maji humo humo mapangoni na ukitoka unakula risasi.
We angalia kesho News idadi.
 
Asikudanganye mtu, bado shughuli ni pevu! Kuna mazungumzo ya chini kwa chini yanaendelea pande zote kuona kama wanaweza kusitisha vita angalau hata kwa muda.
Wachambuzi wa maswala ya Vita wanasema Israel imeshindwa kutimiza malengo yake ya vita, inachofanya ni kubomoa majumba, miundo mbinu, kuua watu na watoto.
Hamas wameendelea kushikilia msimamo wao, mpaka Israel isitishe vita!
 
ni kweli anaomba poo maana jeshi lake haliwezi kutoka anahitaji mazungumzo ili atoe majeshi yake ila bado ni ngumu wanauwa na njia ya kutoka hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…