Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike


wakijibu nishtue mkuu
 
Hiv nyie mnaopiga kelele humu mama zenu waliwazaa kwenye ndoa? Au ndo ule usem nyani haon kundule? Barack obama n mtt wa typ hyo leo hii anaongoza dunia nzima, hua uharam wenu n kwenu huko na dini zenu njaaa hizo, hongera kwa wapachikaji mimba wote mjin na wapachikwaji wote.ova
 

Nasikia anakua mlemavu wa akili eti.
 
Nasikia anakua mlemavu wa akili eti.

Kwa jibu ilo basi nahisi Tanzania ama Africa kwa ujumlaa pangejaa watoto walemavu wa akili , Alafu na Mimi ningekua mmoja wa hao walemavu, cha ajabu binafsi nilizaliwa nje ya ndoa but in my family ndio naonekana the blessed one kila angle zaidi ya wenzangu waliozaliwa ndoani, labda tupate jibu lingine!!!
 
Nasikia anakua mlemavu wa akili eti.

Kwa jibu ilo basi nahisi Tanzania ama Africa kwa ujumla pangejaa watoto walemavu wa akili , Alafu na Mimi ningekua mmoja wa hao walemavu, ila cha ajabu binafsi nilizaliwa nje ya ndoa but in my family ndio naonekana the blessed one kila angle zaidi ya wenzangu waliozaliwa ndoani, labda tupate jibu lingine!!!
 

hahahaha shikamoo Mkuu...wapachikwaji cheers..
 
Nilisemaga kuhusu hili, ila akina nifah na geniveros wakanichamba eti kuzaa nje ya ndoa ndio habar ya mujini, wakati wanazaa watoto haramu, wanawapa shida tu viumbe visivyokuwa na hatia

Shida gani kwan hawalelewi khaa
 
Last edited by a moderator:

dah humu kuna watu wanaongea km wanahara
ndo tunaowapinga hao
wanajiona km vile wao malaika vile yani wanatoa kufuru kisa kakuta baba ake na mama ake wako pamoja
na ukute wamebariki ndoa last yr sa sijui wao wao halali au haramu
au kwa kua wengine wazazi wao hawakuolewaa ndo muite haramu
yani we achana nao hao tushawazoea
 

Mwisho utataka tukuonyeshe alipo mungu na kwanini haonekani!!..huna hoja nenda kalale!
 


Hukuzaliwa kwenye ndoa?? Una hakika babaako hakumuingilia kwa nguvu mamaako ( kubaka)?? Unaelewa maana ya ndoa wewe?
 
Kuzaa ni majaaliwa jamani.mfano mie nimezaa mtoto mmoja uzazi ukagoma miaka tisa ndio nikapata mimba ingine je nisingekua na yule mtoto wa kwanza ingekuaje?please tisipende kuumiza hisia za wengine.kwa kukejeli wasiozaa.kila mtu ana sababu kwann hajazaa.kufuga mbwa ni njia ya kujipotezea mawazo tu.huenda akazaa au akaadopt huko mbele ya safari.tuwe na hofu ya Mungu.sijapenda kabisa
 
Hukuzaliwa kwenye ndoa?? Una hakika babaako hakumuingilia kwa nguvu mamaako ( kubaka)?? Unaelewa maana ya ndoa wewe?

Wazazi waheshimiwe bwana.Utamuulizaje swali kama hilo eti una uhakika kama babake hakumwingilia mamake?? Plz ustaarabu kitu cha bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…