Picha: Happiness Magese sasa kukojoa kwa kutumia mipira

Picha: Happiness Magese sasa kukojoa kwa kutumia mipira

Jamani hivi hakuna waombaji wamuombee, she is possessed with demons. ampe yesu maisha yake, aone hicho kizazi na hilo kojo halijakata. Tunakufa kwa kukosa maarifa. Mungu ampe ufahamu akate shauri

Umeona eeh

Kuombewa kwani issue
Swali yu yupo tayari?
 
Mungu amfungulie mvua ya uponyaji
 
anayemfahamu amsaidie aende kwa TB joshua.
 
yawezekana mi ni kilaza, tatizo la ugumba linaloharibu kibufu cha mkojo? huwaga wanaficha vyanzo vya matatizo yao hawa.!!! wengine wanashusha sana mimba aafu baadaye wanaanza kumsingizia Mungu
 
This was back in 2010 binamu, embu kafanye udakuzi kidogo tena. Nimeona hata kwa nuru the light ameweka hizo pics, ni kama Millen anasimulia how the problem started, alipopitia (including hizo operation) hadi alipo now. Now she is ok

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

watu wanatuletea picha za baada ya operation na kuandika uongo.
 
Matatizo ya huyu dada yanagusa sana......sana.....sana...................Mungu ampe nguvu...
 
Hiyo kuwekewa catheter Mbona ni hali ya kawaida kama ukitaka kufanyiwa operation ambayo itakulaza mda mrefu. Halafu wanakuwa wanataka wawe wanamonitor mkojo wako.
 
Hiyo kuwekewa catheter Mbona ni hali ya kawaida kama ukitaka kufanyiwa operation ambayo itakulaza mda mrefu. Halafu wanakuwa wanataka wawe wanamonitor mkojo wako.

Afadhali umelieza vizuri. Huyo mjinga kaona catheter anabwabwaja bila kujua ilimradi alete uongo wake.
 
Tatizo la kupimwa oil hili..vijana wanapenda sana kuingiza vidole kwenye nyuchi sasa wanajaribu via vya uzazi
 
Mimi namuombea kwa Mungu amponye na kumpa uwezo wa kushika ujauzito. GOD is good all the time
 
Umeongea point sana mkuu, mda mwingine mungu anatupa mitihani mizito ili tumjue yeye ni nani, magese kasema kazunguka hospitali zote duniani kutibiwa ila hakufanikiwa ila sijasikia akisema alienda kwa mchungaji flani kufanyiwa maombi,amesahau kuwa mungu hashindwi na kitu na kamwe hawezi kushindwa kama ukimtafuta kwa bidii

Ndo ajue na ajifunze kuwa pesa sio kila kitu duniani, angempa nafasi mungu katika maisha yake aone kama atashindwa, Mungu sio mganga kusema anabahatisha

Wachungaji wenyewe ndio hawa kina gwajima?
 
Picha ya zamani sana....karudie kusoma tena
 
Wengine wanalilia watoto, huku wengine wanatoa mimba, wengine wanatupa vichanga wengine wanawatesa kwa kuwaficha kwenye mabox au kuwachoma moto, mungu akufanyie wepesi mpendwa, mkabidhi maisha yako atafanya.
 
Wakati masikini anawaza pesa, tajiri anawaza magonjwa yanayo mkabili. Hiyo yote ni mipango ya Mungu. Kama binadamu lazima kuna kitu kitakuwa kinakusumbua tu japo hata kama ni kidogo
thats the way life it is
 
Back
Top Bottom