Picha: Happiness Magese sasa kukojoa kwa kutumia mipira

Picha: Happiness Magese sasa kukojoa kwa kutumia mipira

Pole sana
Jaman inasikitisha sana
Amkabithi MUngu maisha yake
Muujiza utatendeka asikate tamaa wakati MUNGU yupo na atamponya
 
Daah huyu dada jamani mbona anakutwa na majaribu hivi. . Pole sana happyness
 
Milen anapendwa kweli, angekuwa mama ubaya apa angepokea vichambo vya haja wangemwambia ana fistula kwa ajili ya kugegedwa sana

Sio kupendwa tu binamu ukijiheshimu utaheshimiwa... huyu dada anajiheshimu.
 
Nieleweshe
Ina maana aliumwa zaman or
Kwa sasa mzima kwa hiyo

Ana tatizo la endometriosis ....lilipelekea akafanyiwa surgery nyingi tu....na hizo picha juu ni moja kati ya surgery hizo....na hapo ilikua miaka mitatu iliyopita...
 
Ana tatizo la endometriosis ....lilipelekea akafanyiwa surgery nyingi tu....na hizo picha juu ni moja kati ya surgery hizo....na hapo ilikua miaka mitatu iliyopita...

Hiyo hali ndo anayo sasa ivi binamu, uo ugonjwa wa matatizo ya uzazi anayo mda na alishawah fanyiwa operation south africa na marekani, hii nais ni ivi karibun baada ya hali kuwa mbaya
 
Hiyo hali ndo anayo sasa ivi binamu, uo ugonjwa wa matatizo ya uzazi anayo mda na alishawah fanyiwa operation south africa na marekani, hii nais ni ivi karibun baada ya hali kuwa mbaya

Unahisi?..hizo picha za zamani binamu.....
 
Unahisi?..hizo picha za zamani binamu.....

Yes nahis, picha zinaweza kutumika tu kwa sababu namzungumzia happy na hyo picha ni ya happy haijalishi ni zaman au sasa ivi, hiyo picha imetumika kusindikiza message tu binamu yangu.

Happy hajawahi kuzungumzia tatizo la kukojoa kwa kutumia mipira maalumu, bali ni tatizo la uzazi linalomsumbua ambalo alisema she can not conceive naturally(hawezi kuzaa kwa njia ya kawaida) labda afanye artificial insemination
 
Ana tatizo la endometriosis ....lilipelekea akafanyiwa surgery nyingi tu....na hizo picha juu ni moja kati ya surgery hizo....na hapo ilikua miaka mitatu iliyopita...

Kama una hiyo makala tupiamo cos Binamu anasema ya siku za karibuni
 
Yes nahis, picha zinaweza kutumika tu kwa sababu namzungumzia happy na hyo picha ni ya happy haijalishi ni zaman au sasa ivi, hiyo picha imetumika kusindikiza message tu binamu yangu.

Happy hajawahi kuzungumzia tatizo la kukojoa kwa kutumia mipira maalumu, bali ni tatizo la uzazi linalomsumbua ambalo alisema she can not conceive naturally(hawezi kuzaa kwa njia ya kawaida) labda afanye artificial insemination

Binamu hapo juu umesema "anatumia mpira".....which means 'sasa'......nami napinga kuwa kuwa si sasa......hizi picha kazitoa juzi tuu na Maelezo kuwa ktk moja ya surgery alizofanyiwa kuna moja ili athiri kwa namna moja ama nyingine njia yake ya mkojo.....anyways....pamoja binamu
 
Kama una hiyo makala tupiamo cos Binamu anasema ya siku za karibuni

Alipost instagram.....na hizo picha ni za 2009......hapo endometriosis ilikuwa na haribu bladder yake
 
Binamu hapo juu umesema "anatumia mpira".....which means 'sasa'......nami napinga kuwa kuwa si sasa......hizi picha kazitoa juzi tuu na Maelezo kuwa ktk moja ya surgery alizofanyiwa kuna moja ili athiri kwa namna moja ama nyingine njia yake ya mkojo.....anyways....pamoja binamu

Napenda kuchati na wewe mchumba(jokes) una mawazo mazuri, yah it might be that way binamu ila still she has a problem ya kukojolea mipira as she said au kashapona sie hatujui
 
Kama una hiyo makala tupiamo cos Binamu anasema ya siku za karibuni

Tatizo analo, ila mwallu anasema ni zamani, so hakuna kilichobadilika labda habar imekuja mda ambao sio sahihi, ila kila kitu ni kweli kama picha inavyojielezea
 
Alipost instagram.....na hizo picha ni za 2009......hapo endometriosis ilikuwa na haribu bladder yake

Ok, huenda wengi walikuwa hawajui kama mimi, now tumejua, ahsante kwa marekebisho baby wake
 
Napenda kuchati na wewe mchumba(jokes) una mawazo mazuri, yah it might be that way binamu ila still she has a problem ya kukojolea mipira as she said au kashapona sie hatujui

Ilishaisha binamu....uwe unasoma sentensi zake zote......usiwe una ziruka zingine.....sawa?
 
Jamani hivi hakuna waombaji wamuombee, she is possessed with demons. ampe yesu maisha yake, aone hicho kizazi na hilo kojo halijakata. Tunakufa kwa kukosa maarifa. Mungu ampe ufahamu akate shauri

Amekwambia hamwamini Yesu..? Unawazimu wewe..
 
Ilishaisha binamu....uwe unasoma sentensi zake zote......usiwe una ziruka zingine.....sawa?

Baby bhana unanisema mbele za watu mi ntalia ujue? Mwenzio niliikuta mtaa wa pili uko nikaibeba kama ilivyo
 
Pole hana happy mungu akupe ahueni
 
Back
Top Bottom