Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Ndo hapo nawaza hilo gonjwa limpate kapuku kama mimi sijui unaishije sasa.Wakati masikini anawaza pesa, tajiri anawaza magonjwa yanayo mkabili. Hiyo yote ni mipango ya Mungu. Kama binadamu lazima kuna kitu kitakuwa kinakusumbua tu japo hata kama ni kidogo
PESA SIO SHINA LA MAOVU. ..HAPANA KABISA. ..NI MTU MWENYEWE TU. .NDUGU YANGUkabisa mkuu hatujuitu sa nyingine kuwa Mung kwetu sisi ni kimbilio na msaada uonekanao wakati wa mateso.Kuna siku nilivisit page yake insta nikamwambi habar za Yesu na nguvu ya maombez aliisoma na nikashukuru kaiona lakin jibu alilonipa liliniuma sana nikajiuliza hapo si tusi ingekua tusi je ?niliishia kuomba msamaha maana some of her followers walinchamba pia.Kweli pesa ni shina la uovu.Mungu wa mbinguni amponye ili ajitwalie utukufu.Amen.
AmenHappiness is a strong and bold woman. The kind of women we need today to guide the younger women.
She is not ashamed of her condition. She is showing it to the world and enlightening her fellow women on what she is going through so women can seek treatment as soon as they can.
May God grant her ease.
Umeongea point sana mkuu, mda mwingine mungu anatupa mitihani mizito ili tumjue yeye ni nani, magese kasema kazunguka hospitali zote duniani kutibiwa ila hakufanikiwa ila sijasikia akisema alienda kwa mchungaji flani kufanyiwa maombi,amesahau kuwa mungu hashindwi na kitu na kamwe hawezi kushindwa kama ukimtafuta kwa bidii
Ndo ajue na ajifunze kuwa pesa sio kila kitu duniani, angempa nafasi mungu katika maisha yake aone kama atashindwa, Mungu sio mganga kusema anabahatisha
Swadakta maneno yakohujafa hujaumbika
Sure. Thanks.Proof unayoitaka ni kwamba hii thread ni ya 2014
Pandisha juu kwenye 1st post uone uzi uliwekwa lini humu jukwaani
Hii si ya kutungaHivi hizi habari mnazipataga wapi mbona mnapenda kutunga story Kwa kuunganisha inganisha picha
Usikurupuke kushambulia watu hata wewe pia umekosea kucomment kwa pupa hapa bila kuangalia kwamba huu uzi ni wa 2014Dada wa watu Ni mzima wa Afya Na anawashangaaa hiyo picha Ni ya Mwaka uliopita alipo fanyiwa operation Ambapo Ni kawaida ukitoka Kwenye operation ya kizazi lazima uvae hiyo acheni uzushi dhambi Kwa Mungu