PICHA HIGH QUALITY: Matukio mbalimbali ya Julius Kambarage Nyerere

PICHA HIGH QUALITY: Matukio mbalimbali ya Julius Kambarage Nyerere

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
1920px-Bezoek_president_Nyerere_van_Tanzania_president_Nyerere_spreekt_in_de_Eerste_Ka,_Bestan...jpg

Nyerere akiwa ziarani Netherlands in 1985

1920px-Bezoek_president_Nyerere_van_Tanzania_president_Nyerere_(l)_en_minister_Ruding,_Bestand...jpg

Nyerere akiwa na Onno Ruding, Waziri wa Fedha wa Uholanzi, 1985

Carter_Nyerere,_August_1977_-_NARA_175790.jpg

Nyerere akiwa na Rais wa Marekani Jimmy Carter na Mke wa Rais Rosalynn Carter katika
Ikulu ya White House, 1977


1024px-Staatsbezoek_president_Nyerere_van_Tanzania,_president_Nyerere_maakte_rondvaart_,_Besta...jpg

Nyerere akiwa ziarani Uholanzi mwaka 1965
 
hapo akiwa na raisi Carter Nyerere alikwenda kuomba mahindi ndio tukaletewa unga wa yanga.Carter alikuwa rafiki yake sana
Aise kumbe sikuwa najua hilo...huo unga wa yanga ndo ulikuwaje mwanabodi unaweza tudadavulia kidogo tujue maana huwa nausikia sana
 
Aise kumbe sikuwa najua hilo...huo unga wa yanga ndo ulikuwaje mwanabodi unaweza tudadavulia kidogo tujue maana huwa nausikia sana
ok umri sio tatizo ni hivi kuna kipindi ukame mkubwa sana uliikumba Tanzania ila ilikuwa ni mwaka 1974 hali ya chakula ikawa mbaya mno.Jimmy Carter raisi wa Marekani alikuwa wa chama cha Democrat hiki chama kidogo kina mrengo wa kupenda waafrica na ujamaa kidogo sasa Nyerere alikuwa mjamaa.

Siku moja alikwenda Marekani akamtembelea rafiki yake Jimmy Carter sasa raisi Carter akaamua kumpeleka kwenye mashamba ya mahindi akaona mahindi ya njano akamuuliza haya mahindi mnafanyia nini Carter akamuambia sisi haya huwa hatuli tumelima ajili ya kutengeneza tu chakula cha mifugo yaani ng'ombe. Nyerere alishangaa sana akamuambia my people need this staff we are starving in abject poverty as we are succumbed in a drought.

Baada ya muda ikashuka helikopter kubwa sana shambani akashuka mtu watu wakawa kama wanamsujudia Nyerere alishangaa sana akamuuliza Carter huyu ni nani.Akamuambia huyu ndio manager mkuu wa mashamba yangu yote hapa Marekani. Hapo ndio Nyerere akaona kwa macho ubepari maana yake ni nini .
Basi kuanzia hapo kukawa kunakuja unga wa njano ambao tuliubatiza unga wa Yanga na kuupata tulikuwa mpaka tupange foleni hasa hapo Dar.

Na tulivyokuwa wadogo hata kama unacheza mpira ukiona gari la ugawaji limesimama sehemu unaacha kucheza unakwenda kupanga foleni unatuma mdogo wako akamuambie mama aje kununua unga wewe umeshapanga foleni.

Mdogo wangu hiyo ndio story nahisi ulikuwa hujui tuwasiliane N'Yadikwa
 
ok umri sio tatizo ni hivi kuna kipindi ukame mkubwa sana uliikumba Tanzania ila ilikuwa ni mwaka 1974 hali ya chakula ikawa mbaya mno.Jimmy Carter raisi wa Marekani alikuwa wa chama cha Democrat hiki chama kidogo kina mrengo wa kupenda waafrica na ujamaa kidogo sasa Nyerere alikuwa mjamaa.
Siku moja alikwenda Marekani akamtembelea rafiki yake Jimmy Carter sasa raisi Carter akaamua kumpeleka kwenye mashamba ya mahindi akaona mahindi ya njano akamuuliza haya mahindi mnafanyia nini Carter akamuambia sisi haya huwa hatuli tumelima ajili ya kutengeneza tu chakula cha mifugo yaani ng'ombe.Nyerere alishangaa sana akamuambia my people need this staff we are starving in abject poverty as we are succumbed in a drought.
Baada ya muda ikashuka helikopter kubwa sana shambani akashuka mtu watu wakawa kama wanamsujudia Nyerere alishangaa sana akamuuliza Carter huyu ni nani.Akamuambia huyu ndio manager mkuu wa mashamba yangu yote hapa Marekani.Hapo ndio Nyerere akaona kwa macho ubepari maana yake ni nini .
Basi kuanzia hapo kukawa kunakuja unga wa njano ambao tuliubatiza unga wa Yanga na kuupata tulikuwa mpaka tupange foleni hasa hapo Dar.Na tulivyokuwa wadogo hata kama unacheza mpira ukiona gari la ugawaji limesimama sehemu unaacha kucheza unakwenda kupanga foleni unatuma mdogo wako akamuambie mama aje kununua unga wewe umeshapanga foleni.
Mdogo wangu hiyo ndio story nahisi ulikuwa hujui tuwasiliane N'Yadikwa
Uko sahihi kabisa,kipindi hicho mzee wangu akiwa purchasing officer wa NMC,na baadae NDL,wakati watanzania wanataabika sisi tulikula na kusaza RIP daddy
 
Uko sahihi kabisa, kipindi hicho mzee wangu akiwa purchasing officer wa NMC, na baadae NDL, wakati watanzania wanataabika sisi tulikula na kusaza RIP daddy
hahahaha Mdukuzii kumbe wewe ni mhenga mwenzangu.Miaka ile ya mwanzo ya 1970s wafanyakazi wa RTC,NDL yaani National Distrubutors Limited au Ugawaji walikuwa kama miungu watu. Nina uhakika kwenu mlikuwa hamshindi njaa.

Kununua bia na cement kuna wakati ilikuwa hadi uwe na kibali. Unaweza ukakamatwa na askari kisa amekuona na sabuni ya Kenya Imperial ndio jina magendo likaja. Siasa ya ujamaa ya hovyo sana

Waziri mkuu wa Wingereza Winston Churchil alipata kusema Ujamaa ni siasa ya kugawana umasikini.Na rasi Kenyata wa Kenya alipata kuwaambia wananchi wake msije dhani ujamaa utawapa chakula.
 
hahahaha Mdukuzii kumbe wewe ni mhenga mwenzangu.Miaka ile ya mwanzo ya 1970s wafanyakazi wa RTC,NDL yaani National Distrubutors Limited au Ugawaji walikuwa kama miungu watu.Nina uhakika kwenu mlikuwa hamshindi njaa.
Kununua bia na cement kuna wakati ilikuwa hadi uwe na kibali.Unaweza ukakamatwa na askari kisa amekuona na sabuni ya Kenya Imperial ndio jina magendo likaja.Siasa ya ujamaa ya hovyo sana
Waziri mkuu wa Wingereza Winston Churchil alipata kusema Ujamaa ni siasa ya kugawana umasikini.Na rasi Kenyata wa Kenya alipata kuwaambia wananchi wake msije dhani ujamaa utawapa chakula.
Hakika mkuu sie hatukuwahi lala njaa kwa kweli,mama alikuwa akipewa kibali tunaenda ilala NDL kuchukua kiroba cha sukari au ngano na kulangua mtaani kimya kimya,akaja kijana fulani anaitwa Mpangala akawa mkurugenzi wa NDL ndio ikafia mikononi mwake,NMC ndio Bakhresa akainunua,huwa nikipita Ilala ofisi za NSSF au Buguruni Bakhresa namkumbuka mzee.
 
Hakika mkuu sie hatukuwahi lala njaa kwa kweli,mama alikuwa akipewa kibali tunaenda ilala NDL kuchukua kiroba cha sukari au ngano na kulangua mtaani kimya kimya,akaja kijana fulani anaitwa Mpangala akawa mkurugenzi wa NDL ndio ikafia mikononi mwake,NMC ndio Bakhresa akainunua,huwa nikipita Ilala ofisi za NSSF au Buguruni Bakhresa namkumbuka mzee.
Rest in peace baba yetu wa NDL Aise unakumbuka mkate wa Siha? kulikuwa na gari linapita kuuza mikate ya serikali ila hakika ilikuwa mizuri sana.

Nyerere siasa zake zingefanikiwa ingekuwa raha sana ila alikuwa kama vile anaota maana alikwenda China kwa Mao akavutiwa akaja kuanzisha maujinga ya kichoyo.

Kaja anzisha vijiji vya ujamaa Shinyanga ndio walioadhirika na zoezi hili.Unamuhamisha mtu kwake anakwenda porini unamuambia mtakaa hapa usiku fisi anakuja anabeba mtoto.Bahati nzuri alikiri ameshindwa
 
Rest in peace baba yetu wa NDL Aise unakumbuka mkate wa Siha? kulikuwa na gari linapita kuuza mikate ya serikali ila hakika ilikuwa mizuri sana.
Nyerere siasa zake zingefanikiwa ingekuwa raha sana ila alikuwa kama vile anaota maana alikwenda China kwa Mao akavutiwa akaja kuanzisha maujinga ya kichoyo.
Kaja anzisha vijiji vya ujamaa Shinyanga ndio walioadhirika na zoezi hili.Unamuhamisha mtu kwake anakwenda porini unamuambia mtakaa hapa usiku fisi anakuja anabeba mtoto.Bahati nzuri alikiri ameshindwa
Nyerere ndoto zake zingefanikiwa tungefika mbali zilifeli ila zimejenga msingi wa kupendana na kusaidiana kama ndugu hata kama hamjuani
 
ok umri sio tatizo ni hivi kuna kipindi ukame mkubwa sana uliikumba Tanzania ila ilikuwa ni mwaka 1974 hali ya chakula ikawa mbaya mno.Jimmy Carter raisi wa Marekani alikuwa wa chama cha Democrat hiki chama kidogo kina mrengo wa kupenda waafrica na ujamaa kidogo sasa Nyerere alikuwa mjamaa.
Siku moja alikwenda Marekani akamtembelea rafiki yake Jimmy Carter sasa raisi Carter akaamua kumpeleka kwenye mashamba ya mahindi akaona mahindi ya njano akamuuliza haya mahindi mnafanyia nini Carter akamuambia sisi haya huwa hatuli tumelima ajili ya kutengeneza tu chakula cha mifugo yaani ng'ombe.Nyerere alishangaa sana akamuambia my people need this staff we are starving in abject poverty as we are succumbed in a drought.
Baada ya muda ikashuka helikopter kubwa sana shambani akashuka mtu watu wakawa kama wanamsujudia Nyerere alishangaa sana akamuuliza Carter huyu ni nani.Akamuambia huyu ndio manager mkuu wa mashamba yangu yote hapa Marekani.Hapo ndio Nyerere akaona kwa macho ubepari maana yake ni nini .
Basi kuanzia hapo kukawa kunakuja unga wa njano ambao tuliubatiza unga wa Yanga na kuupata tulikuwa mpaka tupange foleni hasa hapo Dar.Na tulivyokuwa wadogo hata kama unacheza mpira ukiona gari la ugawaji limesimama sehemu unaacha kucheza unakwenda kupanga foleni unatuma mdogo wako akamuambie mama aje kununua unga wewe umeshapanga foleni.
Mdogo wangu hiyo ndio story nahisi ulikuwa hujui tuwasiliane N'Yadikwa

..Richard Nixon 1969 to 1974.

..Gerald Ford 1974 to 1977.

..Jimmy Carter 1977 to 1981.

..kama njaa ilitokea mwaka 1974 basi waliotupatia mahindi ni Nixon au Ford, na hao walitokana na chama cha REPUBLICAN.

..Mahindi ukiyavuna kabla hayajakomaa unaweza kutengeneza SILAGE au chakula cha mifugo.

..Mahindi yakikomaa ndipo husagwa na kutengenezwa unga kwa ajili ya ugali, etc.

..Kuna watu wamekuwa wakidai Wamarekani walitupa unga ambao ni chakula cha mifugo jambo ambalo si kweli.

..Pia kuna mahindi yanayotoa unga mweupe, na mahindi yanayotoa unga wa manjano.

..Ziko taarifa kwamba unga wa manjano una lishe bora kuliko unga mweupe.

1658004371373.png


Cc N'yadikwa , CHIEF WINGIA , Mdukuzii
 
..Richard Nixon 1969 to 1974.

..Gerald Ford 1974 to 1977.

..Jimmy Carter 1977 to 1981.

..kama njaa ilitokea mwaka 1974 basi waliotupatia mahindi ni Nixon au Ford, na hao walitokana na chama cha REPUBLICAN.

..Mahindi ukiyavuna kabla hayajakomaa unaweza kutengeneza SILAGE au chakula cha mifugo.

..Mahindi yakikomaa ndipo husagwa na kutengenezwa unga kwa ajili ya ugali, etc.

..Kuna watu wamekuwa wakidai Wamarekani walitupa unga ambao ni chakula cha mifugo jambo ambalo si kweli.

..Pia kuna mahindi yanayotoa unga mweupe, na mahindi yanayotoa unga wa manjano.

..Ziko taarifa kwamba unga wa manjano una lishe bora kuliko unga mweupe.

View attachment 2293532

Cc N'yadikwa , CHIEF WINGIA , Mdukuzii
bro usibishe basi wazungu hawajui kitu kinaitwa Ugali wao ni ngano zaidi
 
bro usibishe basi wazungu hawajui kitu kinaitwa Ugali wao ni ngano zaidi

..tunaelimishana, hatubishani.

..nimeboresha tu kile ulichoandika.

..pia kuna corn/mahindi na wheat / ngano kwa matumizi tofauti.

..zaidi, kama tulipewa msaada wa chakula mwaka 1974, basi aliyetupa ni Nixon au Ford, ambao ni Republicans.
 
ok umri sio tatizo ni hivi kuna kipindi ukame mkubwa sana uliikumba Tanzania ila ilikuwa ni mwaka 1974 hali ya chakula ikawa mbaya mno.Jimmy Carter raisi wa Marekani alikuwa wa chama cha Democrat hiki chama kidogo kina mrengo wa kupenda waafrica na ujamaa kidogo sasa Nyerere alikuwa mjamaa.

Siku moja alikwenda Marekani akamtembelea rafiki yake Jimmy Carter sasa raisi Carter akaamua kumpeleka kwenye mashamba ya mahindi akaona mahindi ya njano akamuuliza haya mahindi mnafanyia nini Carter akamuambia sisi haya huwa hatuli tumelima ajili ya kutengeneza tu chakula cha mifugo yaani ng'ombe. Nyerere alishangaa sana akamuambia my people need this staff we are starving in abject poverty as we are succumbed in a drought.

Baada ya muda ikashuka helikopter kubwa sana shambani akashuka mtu watu wakawa kama wanamsujudia Nyerere alishangaa sana akamuuliza Carter huyu ni nani.Akamuambia huyu ndio manager mkuu wa mashamba yangu yote hapa Marekani. Hapo ndio Nyerere akaona kwa macho ubepari maana yake ni nini .
Basi kuanzia hapo kukawa kunakuja unga wa njano ambao tuliubatiza unga wa Yanga na kuupata tulikuwa mpaka tupange foleni hasa hapo Dar.

Na tulivyokuwa wadogo hata kama unacheza mpira ukiona gari la ugawaji limesimama sehemu unaacha kucheza unakwenda kupanga foleni unatuma mdogo wako akamuambie mama aje kununua unga wewe umeshapanga foleni.

Mdogo wangu hiyo ndio story nahisi ulikuwa hujui tuwasiliane N'Yadikwa
Dah braza umemwaga stori moja interesting sana...ndo raha ya jf
 
Dah braza umemwaga stori moja interesting sana...ndo raha ya jf

..habari hiyo sio ya kweli.

..Jimmy Carter hakuwa Raisi wa Marekani mwaka 1974.

..Uwezekano mkubwa ni msaada wa chakula tulipopata balaa la ukame mwaka 1974 ulipatikana kwa hisani ya Raisi Richard Nixon aliyetokana na chama cha Republican.

..Nixon pia alipatikana na kashfa akalazimishwa kujiuzulu mwaka 1974 na akapokewa na Gerald Ford.
 
Aise kumbe sikuwa najua hilo...huo unga wa yanga ndo ulikuwaje mwanabodi unaweza tudadavulia kidogo tujue maana huwa nausikia sana
Na mm nilisimuli wanasema Ulikuw unga wa njano miaka ya 70s kuna ukata na njaa uliichapa bongoland nzima ko ukawa msahada wa mahindi kutoka US yalikuja ya njano unga unatoka wa njano nasikia ad bata walianza kususa ugali wa njano mana kilikuwa ni chakula kikuu ukiachana na ugali wa Muhogo,mtama na ndizi nildokezwa na mabamkubwa"
 
Back
Top Bottom