PICHA: Hii chuma ya umeme iliyoteka mitandaoni ni aina gani?

PICHA: Hii chuma ya umeme iliyoteka mitandaoni ni aina gani?

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Kumekuwa na mjadala tweeter juu ya chuma ya UMEME wengi wanadai hii ni Tesla S7 na wengine wakidai ni BYD Co na wengine wanasema ni Changan Deepal S7.

Mtaalamu wa haya magari Mad Max utatusaidia kujua hili gari angalau na Sisi wengine tunaweza kuanzia kujichanga Kwa miaka ya baadae tumiliki na Sisi, baada ya miaka 5 haya magari yatakuwa mengi TANZANIA najua wabongo wapo wabishi wa magari.

20240909_172608.jpg
 
Ni Deepal S7 2023 mkuu. Ni EV ila category ya REEV (range extender EV) yaani ina engine ya 1.5L ila hii engine haihusiki na kusukuma magudurumu kazi yake inafanya kama generator kuichaji battery ikiisha.

Kwahiyo unaweza kuendesha kilometa za kutosha bika kuchaji we ukawa unaweka tu wese.

PS: Usiichanganye na Plugin Hybrid ambayo yenyewe ina engine na battery la kuchaji ila engine yake muda mwingine inasukuma magurudumu.
 
Kumekuwa na mjadala tweeter juu ya chuma ya UMEME wengi wanadai hii ni Tesla S7 na wengine wakidai ni BYD Co na wengine wanasema ni Changan Deepal S7.

Mtaalamu wa haya magari Mad Max utatusaidia kujua hili gari angalau na Sisi wengine tunaweza kuanzia kujichanga Kwa miaka ya baadae tumiliki na Sisi, baada ya miaka 5 haya magari yatakuwa mengi TANZANIA najua wabongo wapo wabishi wa magari.

View attachment 3091637
Dar zipo sana hizo
 
Back
Top Bottom