PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Sio boss.Tesla used from Dubai..
Inatia moyo sana mkuu. Sema serikali ingetoa support hapa.Mdogomdogo tutafika
Yaani bandiko lako linaonekana kabisa halikuwa na Nia njema.Tesla used from Dubai..
Dar zipo sana hizoKumekuwa na mjadala tweeter juu ya chuma ya UMEME wengi wanadai hii ni Tesla S7 na wengine wakidai ni BYD Co na wengine wanasema ni Changan Deepal S7.
Mtaalamu wa haya magari Mad Max utatusaidia kujua hili gari angalau na Sisi wengine tunaweza kuanzia kujichanga Kwa miaka ya baadae tumiliki na Sisi, baada ya miaka 5 haya magari yatakuwa mengi TANZANIA najua wabongo wapo wabishi wa magari.
View attachment 3091637
Hahaha au sio. PureView zeiss toka huko Busisi uende Dar.Dar zipo sana hizo
Hahahaha 🤣 🤣Hahaha au sio. PureView zeiss toka huko Busisi uende Dar.