Kwahiyo huyo ndio anaongoza nchi?1. Ni kama anampa habari nzito sana, mpaka mama amekunja uso.
2. Ni kama anamfokea mama, mama naye ni kama amenywea kwa kuona amelikoroga mahali.
Ushameza lile ini mzee?Wakuu
Weee jamaa jau sana ππππUshameza lile ini mzee?
Nataka niweke battle la mtu 3 na wewe umo π€£π€£π€£Wakuu
Nasoma comments
πππππππππ Alafu wewe ngoja waje kukukamata naona unakuaga mkorofi sanaNataka niweke battle la mtu 3 na wewe umo π€£π€£π€£
Wakina nani haooo π€£π€£π€£πππππππππ Alafu wewe ngoja waje kukukamata naona unakuaga mkorofi sana
Mzee kama CIA,CTU,FBIView attachment 3213412
- Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
- Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......
Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.