Picha hii ina tafsiri gani?

Picha hii ina tafsiri gani?

Ni kama anasema umefanya nini sasa wewe kiumbe cha kizanzibari?
 
View attachment 3213412
  1. Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
  2. Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......

Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Huyo bwana ni nani? Mwanae Abdul? Wanabishania nini hapo?

Naona Bi Tozo a.k.a Chura Kiziwi wa KIZIMKAZI kachachamaa kweli..!!
 
Screenshot_20250125-174006.jpg
Screenshot_20250125-174106.jpg
Screenshot_20250125-174031.jpg
Screenshot_20250125-174041.jpg
Screenshot_20250125-174125.jpg
Screenshot_20250125-174025.jpg
 
Nje ya mada kidogo, hivi hawa chadema Wana akili lakini?!!!!!


Mama Samia; saikolojia Iko hv, ukionA anayekukimbiza anatoa matusi basi we ongeza mbio tu maana ameshashindwa huyo. Mama endelea kuhudumia watanzania......inawaka Sasa hata kama wanajilazimisha kutoona. Mama endelea kuwasamehe na kuwaombea na kuwatendea mema hawa watu wasio na shukrani. Nakuapia, kwa maendeleo inayopiga Tanzania kwa Sasa jina lako litaandikwa kwa wino wa dhahabu............ni suala la muda tu.
 
Nje ya mada kidogo, hivi hawa chadema Wana akili lakini?!!!!!


Mama Samia; saikolojia Iko hv, ukionA anayekukimbiza anatoa matusi basi we ongeza mbio tu maana ameshashindwa huyo. Mama endelea kuhudumia watanzania......inawaka Sasa hata kama wanajilazimisha kutoona. Mama endelea kuwasamehe na kuwaombea na kuwatendea mema hawa watu wasio na shukrani. Nakuapia, kwa maendeleo inayopiga Tanzania kwa Sasa jina lako litaandikwa kwa wino wa dhahabu............ni suala la muda tu.
🚮🚮🚮
 
View attachment 3213412
  1. Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
  2. Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......

Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Mama nampenda sana. Mama atakujaga kuwa the best president...mfatilie kwa karibu mambo yake...mama ni mwanamke na nusu. Tumpe hii mitano Nina Imani nae.

Nchi imetoka kwenye matatizo ya kufiwa na Rais, nchi ilikuwa kwenye mkwamo wa uchumi ulioletwa Dunia nzima na janga la corona...nchi ilikuwa imefungwa hii, huyu maza ndie alieifungua.

Tusisahau tulipotoka. Mama ni mwanamke na nusu
 
Mama nampenda sana. Mama atakujaga kuwa the best president...mfatilie kwa karibu mambo yake...mama ni mwanamke na nusu. Tumpe hii mitano Nina Imani nae.

Nchi imetoka kwenye matatizo ya kufiwa na Rais, nchi ilikuwa kwenye mkwamo wa uchumi ulioletwa Dunia nzima na janga la corona...nchi ilikuwa imefungwa hii, huyu maza ndie alieifungua.

Tusisahau tulipotoka. Mama ni mwanamke na nusu
Pole mkuu
Tunaenda kumpa kiinua mgongo chake aoktoba 2025.


Hatufai
 
Nafikiri ni Maharage Chande
Anajitetea huo mkono ni ishara kuna jambo haliko kama Mama Anavyoliwa,

Bega la kijana limepanda kiasi angalia mkunjo kwenye koti la suti Hapo begani.

Mama anashangaa kwa kukunja sura na kukaa kimya,

Mlinzi wa mama anaangalia jinsi mama alivyopokea jambo Hilo tofauti na alivyokua anafikiri .
 
A frustrated figure due to unexpected outcome after a heavy investment on a perticular matter and it's a big big loss to them!

It could be Opposition chairman's election as it went out of plan!now what next!!?



Am sorry
 
Back
Top Bottom