kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Bado upo kwenye utumwa wa kuamini kuwa Rais ni binadamu wa tofauti na anafananishwa na munguKwa nini mkuu?
Nadhani unahitaji elimu zaidi ili uamke kutoka kwenye uzombi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado upo kwenye utumwa wa kuamini kuwa Rais ni binadamu wa tofauti na anafananishwa na munguKwa nini mkuu?
Nadhani unahitaji elimu zaidi ili uamke kutoka kwenye uzombi
Huyo bwana ni nani? Mwanae Abdul? Wanabishania nini hapo?View attachment 3213412
- Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
- Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......
Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Acha nidownload kabisa nyie tisi msije ifutaHii picha haikutakiwav kuwa mtandaoni haijakaa vizuri.kiongozi wa nchi ana picha zake
Salim kingoHuyo ni nani?
Mkuu Wasalimie hapo LamadiWakina nani haooo 🤣🤣🤣
Nipo zangu huku Ikungulyambeshi sijui kama watafika aiseee
🚮🚮🚮Nje ya mada kidogo, hivi hawa chadema Wana akili lakini?!!!!!
Mama Samia; saikolojia Iko hv, ukionA anayekukimbiza anatoa matusi basi we ongeza mbio tu maana ameshashindwa huyo. Mama endelea kuhudumia watanzania......inawaka Sasa hata kama wanajilazimisha kutoona. Mama endelea kuwasamehe na kuwaombea na kuwatendea mema hawa watu wasio na shukrani. Nakuapia, kwa maendeleo inayopiga Tanzania kwa Sasa jina lako litaandikwa kwa wino wa dhahabu............ni suala la muda tu.
Mama nampenda sana. Mama atakujaga kuwa the best president...mfatilie kwa karibu mambo yake...mama ni mwanamke na nusu. Tumpe hii mitano Nina Imani nae.View attachment 3213412
- Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
- Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......
Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Bilionea Mbowe kaondolewa Chadema Sasa mtaanza kunywa Gongo 😂Visungura kinywaji pendwa cha mkuu johnthebaptist hicho
Pole mkuuMama nampenda sana. Mama atakujaga kuwa the best president...mfatilie kwa karibu mambo yake...mama ni mwanamke na nusu. Tumpe hii mitano Nina Imani nae.
Nchi imetoka kwenye matatizo ya kufiwa na Rais, nchi ilikuwa kwenye mkwamo wa uchumi ulioletwa Dunia nzima na janga la corona...nchi ilikuwa imefungwa hii, huyu maza ndie alieifungua.
Tusisahau tulipotoka. Mama ni mwanamke na nusu
Tafsiri ni ngumu kujua maana hata sura yake hatuijui.View attachment 3213412
- Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
- Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......
Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Kanywe visungura vyako bwege wewe.Bilionea Mbowe kaondolewa Chadema Sasa mtaanza kunywa Gongo 😂