Patriot missile
JF-Expert Member
- Jun 16, 2024
- 280
- 423
Ni pesa nyingi lakini imezingatia depression na appreciation?2.5bn kwa mwaka bado ni pesa dogo kwa Kariakoo mzalendo Kafulila anasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pesa nyingi lakini imezingatia depression na appreciation?2.5bn kwa mwaka bado ni pesa dogo kwa Kariakoo mzalendo Kafulila anasemaje
Matendo wanayofanya ni ya mtu mwenye akili?Kwanini hawana akili?
Umechanganyikiwa?Mbona hata wewe ni CCM!!
Daah kweli CHADEMA mmevurugwaUmechanganyikiwa?
UWT tulie hili jamboDaah kweli CHADEMA mmevurugwa
Pambaneni na mambo yenu haya mambo ya Uchumi wa nchi mtuachieUWT tulie hili jambo
Hahahahaa ngoja nikae kimya. Hiyo hela ni asilimia 5 ya hela itayopatikana hapo. My country people
Hatimaye PPP ya David Kafulila iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria namba 103 ya mwaka 2010 ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2014, 2018 na 2023 imeanza kuzaa matunda chanya kwa Watanzania hasa baada ya kuanza kutumika kwa marekebisho mapya ya ya mwaka 2023 ya Sheria hiyo.
PPP kwa kumtumia mbia mzawa toka kampuni ya Tosh Logistics Limited wanajenga jengo kubwa huenda ikawa ni zaidi ya lile la Mlimani City kwa gharama ya TZS 36.7bn wakati matumizi yatagharimu kiasi cha TZS 13.3bn litakalokuwa na wapangaji zaidi ya 900 lenye ghorofa 10 kwenda juu.
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-Centre Bw. David Kafulila ameiambia kamati ya Bunge ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuwa Dar es Salaam City Council's Economic and Development Corporation (DDC) katika wakati wote wa Ujenzi wa mradi huo kila mwaka watajizolea kiasi cha TZS 2 bilioni na baada ya mradi huo kukamilika watalipwa kiasi cha TZS 2.5 bilioni kama kodi ya jengo tu bila kuhesabu kodi za TRA pamoja na shuru zingine mbalimbali lakini kubwa zaidi baada ya muda wa mkataba kuisha jengo hilo litakuwa ni mali halali ya serikali ya Tanzania.
Mkurugenzi huyo ameiambia kamati hiyo ya Bunge kuwa Ujenzi wa mradi huo ni miongoni mwamiradi yenye mikataba bora zaidi ya uwekezaji na Ubia kuwahi kushuhudiwa hapa kwenye ardhi ya Tanzania.
Mkurugenzi huyo ameishukuru na kuipongeza kamati hiyo ya Bunge kwa kutembelea mradi huo wa Ubia huku akiomba ushirikiano zaidi kati ya TAMISEMI na PPP ili kwa pamoja waweze kuvuta mitaji toka sekta binafsi ili kujenga miradi yenye tija na thamani halisi ya fedha kwa manufaa ya Taifa kwani miradi hii itaipatia Serikali Kodi pamoja na tozo mbalimbali na hivyo kuchochea ukuaji wa Uchumi endelevu huku Serikali ikiachwa ifanye miradi ile tu ambayo haina sura ya kibiashara na hivyo kuipa nafuu zaidi Serikali katika kutafuta Mikopo na misaada mbalimbali toka kwa wahisani na mashirika mbalimbali nje na ndani ya nchi.
KAFULILA kuna vitu anafahamu ngoja tuone
Hatimaye PPP ya David Kafulila iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria namba 103 ya mwaka 2010 ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2014, 2018 na 2023 imeanza kuzaa matunda chanya kwa Watanzania hasa baada ya kuanza kutumika kwa marekebisho mapya ya ya mwaka 2023 ya Sheria hiyo.
PPP kwa kumtumia mbia mzawa toka kampuni ya Tosh Logistics Limited wanajenga jengo kubwa huenda ikawa ni zaidi ya lile la Mlimani City kwa gharama ya TZS 36.7bn wakati matumizi yatagharimu kiasi cha TZS 13.3bn litakalokuwa na wapangaji zaidi ya 900 lenye ghorofa 10 kwenda juu.
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-Centre Bw. David Kafulila ameiambia kamati ya Bunge ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuwa Dar es Salaam City Council's Economic and Development Corporation (DDC) katika wakati wote wa Ujenzi wa mradi huo kila mwaka watajizolea kiasi cha TZS 2 bilioni na baada ya mradi huo kukamilika watalipwa kiasi cha TZS 2.5 bilioni kama kodi ya jengo tu bila kuhesabu kodi za TRA pamoja na shuru zingine mbalimbali lakini kubwa zaidi baada ya muda wa mkataba kuisha jengo hilo litakuwa ni mali halali ya serikali ya Tanzania.
Mkurugenzi huyo ameiambia kamati hiyo ya Bunge kuwa Ujenzi wa mradi huo ni miongoni mwamiradi yenye mikataba bora zaidi ya uwekezaji na Ubia kuwahi kushuhudiwa hapa kwenye ardhi ya Tanzania.
Mkurugenzi huyo ameishukuru na kuipongeza kamati hiyo ya Bunge kwa kutembelea mradi huo wa Ubia huku akiomba ushirikiano zaidi kati ya TAMISEMI na PPP ili kwa pamoja waweze kuvuta mitaji toka sekta binafsi ili kujenga miradi yenye tija na thamani halisi ya fedha kwa manufaa ya Taifa kwani miradi hii itaipatia Serikali Kodi pamoja na tozo mbalimbali na hivyo kuchochea ukuaji wa Uchumi endelevu huku Serikali ikiachwa ifanye miradi ile tu ambayo haina sura ya kibiashara na hivyo kuipa nafuu zaidi Serikali katika kutafuta Mikopo na misaada mbalimbali toka kwa wahisani na mashirika mbalimbali nje na ndani ya nchi.
Jamaa anavutia sana kumsikilizaKAFULILA kuna vitu anafahamu ngoja tuone
Umeelewa sana but 2.5bn sio jambo la kubezaLet's put things into perspective:
The total cost of this project is Tshs 36.7 billion, and they expect to collect Tshs 2.5 billion annually in rent. This gives an annual rental yield of approximately 7%.
Let’s compare this yield with other nations. For example, Natwest Bank in the UK considers an annual rental yield between 5% and 6% to be good and anything above 6% is very good.
View attachment 3152404
Pia tulinganishe na nchi nyingine uko mbeleni: although the figures below pertain to residential real estate, they are not significantly different from those of commercial real estate. You will see that most yields are below 6%.
So, a 7% yield is healthy.
They will recoup their investment capital in under 20 years.
View attachment 3152421
Kukaa siyo suruhishoHahahahaa ngoja nikae kimya. Hiyo hela ni asilimia 5 ya hela itayopatikana hapo. My country people
Huyo Kafulila akija rais mjuba atakaa jela muda mrefu sana.
Kama ni mjanja ajipange mapema. 10 storey building kwa 50B?
DDC wana eneo la kujenga Size ya Milimani City?
Kafulila sio mwizi nakupa hii ikusaidie huko mbeleniUkiona mikutano kama hiyo na maelezo mengi yasiyo na akili za kuelewesha ujue tayari. Ndio akili zetu zimefika mwisho. Kuongopa ili tujiibie kwa kupiga deals.
Aibu sana. Sasa hivi hakuna kitru kinaenda bila kuleta janja janja na kujiibia kidogo.
Kafulila sio mwizi nakupa hii ikusaidie huko mbeleni
Ngoja tuone hii itakavyokuwawapi nimesema ni mwizi? Uzoefu unaonyesha mbwembwe zetu kwenye public projects zinabeba mengi sana. Muda utayaweka sawa yote.
Hata Richmond ilikuwa mkombozi wa kero ya umeme wakati inapigiwa debe. na IPTL pia. Usiniambie tumebadilika sababu hatujawahi kubadilika
Njoo Salasala uione Mayfair Plaza
Mji umeshahama 😂😂😂😂😂
RIP Lau Mafuru
Shopperz Plaza ni Scansca pale 😂Shoppers
Hongera Rais Samia hongera sana Kafulila
Hatimaye PPP ya David Kafulila iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria namba 103 ya mwaka 2010 na kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2014, 2018 na 2023 sasa rasmi imeanza kuzaa matunda chanya kwa manufaa ya Watanzania hasa baada ya kuanza kutumika kwa marekebisho mapya ya Sheria hiyo ya mwaka 2023 ya Sheria hiyo Namba 103.
PPP kwa kumtumia mbia mzawa toka kampuni ya Tosh Logistics Limited wanajenga jengo kubwa huenda ikawa ni zaidi ya lile la Mlimani City kwa gharama ya TZS 36.7bn wakati matumizi yatagharimu kiasi cha TZS 13.3bn litakalokuwa na wapangaji zaidi ya 900 lenye ghorofa 10 kwenda juu.
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-Centre Bw. David Kafulila ameiambia kamati ya Bunge ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuwa Dar es Salaam City Council's Economic and Development Corporation (DDC) katika wakati wote wa Ujenzi wa mradi huo kila mwaka watajizolea kiasi cha TZS 2 bilioni na baada ya mradi huo kukamilika watalipwa kiasi cha TZS 2.5 bilioni kama kodi ya jengo tu bila kuhesabu kodi za TRA pamoja na shuru zingine mbalimbali lakini kubwa zaidi baada ya muda wa mkataba kuisha jengo hilo litasalia kuwa ni mali halali ya serikali ya Tanzania.
Mkurugenzi huyo ameiambia kamati hiyo ya Bunge kuwa Ujenzi wa mradi huo ni miongoni mwamiradi yenye mikataba bora zaidi ya uwekezaji na Ubia kuwahi kushuhudiwa hapa kwenye ardhi ya Tanzania.
Mkurugenzi huyo ameishukuru na kuipongeza kamati hiyo ya Bunge kwa kutembelea mradi huo wa Ubia huku akiomba ushirikiano zaidi kati ya TAMISEMI na PPP ili kwa pamoja waweze kuvuta mitaji zaidi toka sekta binafsi ili kujenga miradi yenye tija na thamani halisi ya fedha kwa manufaa ya Taifa kwani miradi hii itaipatia Serikali Kodi pamoja na tozo mbalimbali na hivyo kuchochea ukuaji wa Uchumi endelevu huku Serikali ikiachwa ifanye au itekeleze miradi ile tu ambayo haina sura ya kibiashara na hivyo kuipa nafuu zaidi Serikali katika kutafuta Mikopo na misaada mbalimbali toka kwa wahisani na mashirika mbalimbali nje na ndani ya nchi ili kutekeleza miradi hiyo.