Picha: Hivi kuna uhusiano upi kati ya Mwalimu Nyerere na Maxence Melo?

Picha: Hivi kuna uhusiano upi kati ya Mwalimu Nyerere na Maxence Melo?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Maake naona kama kuna mfanano kati ya picha ya ujana ya Mwalimu J.K Nyerere na Mwanzilishi wa mtandao wa JamiiForums, Ndugu Maxence Melo
images (1).jpeg
images.jpeg


Ni hayo tu. Karibuni tupooze makoo yetu hapa TipTop Bar
 
Ukishakua chawa unaweza hata kumuona Baraka de Prince kafanana na bakhresa
 
Baba levo, mwijaku, doto magari na alistotle Kuna kijana wenu huku🤒
Wala hata! Nimeona picha ya sanamu la Nyerere huko Ethiopia, ghafla nikaona taswira ya Maxence ikitabasamu sana mbele ya wana JF
 
😂😂Ndo hivyo mkuu, si unajua tena FISI inebomolewa? Nowdays wanazagaa TIPTOP na Rambo, tunajipigia hata kwa buku mbili, tatizo wanataka upigie hadharani
Fisi ilibomolewa lini mzee?? Mbona naskia walibomoa kule m/nyamala tu huku wakaacha??
 
Back
Top Bottom