Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Wala hata! Nimeona picha ya sanamu la Nyerere huko Ethiopia, ghafla nikaona taswira ya Maxence ikitabasamu sana mbele ya wana JFBaba levo, mwijaku, doto magari na alistotle Kuna kijana wenu huku🤒
😂😂Ndo hivyo mkuu, si unajua tena FISI inebomolewa? Nowdays wanazagaa TIPTOP na Rambo, tunajipigia hata kwa buku mbili, tatizo wanataka upigie hadharaniUmeafata malaya wachovu wa hapo tiptop bar??,
Kwa asilimia 92%🤪🤪Maake naona kama kuna mfanano kati ya picha ya ujana ya Mwalimu J.K Nyerere na Mwanzilishi wa mtandao wa JamiiForums, Ndugu Maxence Melo
View attachment 2912378View attachment 2912379
Ni hayo tu. Karibuni tupooze makoo yetu hapa TipTop Bar
Fisi ilibomolewa lini mzee?? Mbona naskia walibomoa kule m/nyamala tu huku wakaacha??😂😂Ndo hivyo mkuu, si unajua tena FISI inebomolewa? Nowdays wanazagaa TIPTOP na Rambo, tunajipigia hata kwa buku mbili, tatizo wanataka upigie hadharani