isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Habari,
Ni muda sasa utafiti kuhusu sayari ya Mars umekuwa ukiendelea, na mapitio juu ya utafiti huu unaonyesha Mars ni sehemu ambayo hamna wenyewe.
Hii inaonyesha wazi endapo wanadamu tukizichanga karata zetu vizuri basi tunaweza kuanzisha makazi.
Kupitia makubaliano mbalimbali tayari nia imewekwa kufikia 2024 wanadamu tuwe tumetia timu katika sayari hii nyekundu.
Hivyo tuanze kuifanya kuwa ya kijani kwa maendeleo endelevu ya viumbe hai na ifikapo 2050 tuwe na Mataifa mawili.
Kutokana na mikakati na maazimio mbalimbali kufikia 2022 tuwe tayari tumeanza ujenzi huko kwa teknolojia adhimu ya 3D Printing!
Basi mimi leo nakuja kwenu na mawazo yafuatayo;-
Kupitia picha hii niliyotengeneza utaweza kuona Earth, Moon na Mars pia International Space Station 1&2 pia satellite inayozunguka mwezi.
Naona tuufanye Mwezi kuwa kituo, makutano au hub ya kurahisisha kufika Mars.
Wanasayansi watokapo katika dunia kwanza wafike ISS na hapo waufikie Mwezi kisha waandae mazingira ya vifaa kutoka dunia kufika katika Mwezi.
Hivyo baada ya mpango mkakati wa Mars wanasayansi waunde kituo kipya cha ISS2 baina ya Mwezi na Mars kurahisisha michakato kama ilivyo ISS na Dunia.
Hii itarahisisha vifaa na malighafi zinazotoka katika Dunia kwenda Mars kuwa na Uhakika.
Same itarahisisha usafiri baina ya Wanadamu wa Mars na Dunia, itakuwa unatoka Earth unafikia Moon kwa ajiri ya usalama kisha Mars. Huku ISS ikitizama anga baina ya Earth na Moon pia ISS2 ikitizama anga baina ya Moon na Mars.
Hivyo kutokea Moon tutaweza kurusha Satellite ya ku-operate Moon bila shaka yoyote.
Kufikia 2030 tunaweza kufanya go and return yaani unatoka Earth unapitia Moon katika mapumziko kisha unafika Mars same kwa Mars to Earth. Unaweza kutoka 2 years Earth ukafanya shughuli zako Mars Kisha kurudi Earth after preferably kila 2 years.
Baba Mars, Mama Moon huku Watoto Earth.
Picha kwa hisani ya: isajorsergio Space zikiwa zimetengenezwa isajorsergio Studios.
- Sergi 🐰
Ni muda sasa utafiti kuhusu sayari ya Mars umekuwa ukiendelea, na mapitio juu ya utafiti huu unaonyesha Mars ni sehemu ambayo hamna wenyewe.
Hii inaonyesha wazi endapo wanadamu tukizichanga karata zetu vizuri basi tunaweza kuanzisha makazi.
Kupitia makubaliano mbalimbali tayari nia imewekwa kufikia 2024 wanadamu tuwe tumetia timu katika sayari hii nyekundu.
Hivyo tuanze kuifanya kuwa ya kijani kwa maendeleo endelevu ya viumbe hai na ifikapo 2050 tuwe na Mataifa mawili.
Kutokana na mikakati na maazimio mbalimbali kufikia 2022 tuwe tayari tumeanza ujenzi huko kwa teknolojia adhimu ya 3D Printing!
Basi mimi leo nakuja kwenu na mawazo yafuatayo;-
Kupitia picha hii niliyotengeneza utaweza kuona Earth, Moon na Mars pia International Space Station 1&2 pia satellite inayozunguka mwezi.
Naona tuufanye Mwezi kuwa kituo, makutano au hub ya kurahisisha kufika Mars.
Wanasayansi watokapo katika dunia kwanza wafike ISS na hapo waufikie Mwezi kisha waandae mazingira ya vifaa kutoka dunia kufika katika Mwezi.
Hivyo baada ya mpango mkakati wa Mars wanasayansi waunde kituo kipya cha ISS2 baina ya Mwezi na Mars kurahisisha michakato kama ilivyo ISS na Dunia.
Hii itarahisisha vifaa na malighafi zinazotoka katika Dunia kwenda Mars kuwa na Uhakika.
Same itarahisisha usafiri baina ya Wanadamu wa Mars na Dunia, itakuwa unatoka Earth unafikia Moon kwa ajiri ya usalama kisha Mars. Huku ISS ikitizama anga baina ya Earth na Moon pia ISS2 ikitizama anga baina ya Moon na Mars.
Hivyo kutokea Moon tutaweza kurusha Satellite ya ku-operate Moon bila shaka yoyote.
Kufikia 2030 tunaweza kufanya go and return yaani unatoka Earth unapitia Moon katika mapumziko kisha unafika Mars same kwa Mars to Earth. Unaweza kutoka 2 years Earth ukafanya shughuli zako Mars Kisha kurudi Earth after preferably kila 2 years.
Baba Mars, Mama Moon huku Watoto Earth.
Picha kwa hisani ya: isajorsergio Space zikiwa zimetengenezwa isajorsergio Studios.
- Sergi 🐰