Picha: Hivi ndivyo tunaweza kwenda sayari ya Mars na kurudi Earth

Picha: Hivi ndivyo tunaweza kwenda sayari ya Mars na kurudi Earth

Habari,

Ni muda sasa utafiti kuhusu sayari ya Mars umekuwa ukiendelea, na mapitio juu ya utafiti huu unaonyesha Mars ni sehemu ambayo hamna wenyewe.

Hii inaonyesha wazi endapo wanadamu tukizichanga karata zetu vizuri basi tunaweza kuanzisha makazi.

Kupitia makubaliano mbalimbali tayari nia imewekwa kufikia 2024 wanadamu tuwe tumetia timu katika sayari hii nyekundu.

Hivyo tuanze kuifanya kuwa ya kijani kwa maendeleo endelevu ya viumbe hai na ifikapo 2050 tuwe na Mataifa mawili.

Kutokana na mikakati na maazimio mbalimbali kufikia 2022 tuwe tayari tumeanza ujenzi huko kwa teknolojia adhimu ya 3D Printing!

Basi mimi leo nakuja kwenu na mawazo yafuatayo;-

View attachment 1324300

Kupitia picha hii niliyotengeneza utaweza kuona Earth, Moon na Mars pia International Space Station 1&2 pia satellite inayozunguka mwezi.

Naona tuufanye Mwezi kuwa kituo, makutano au hub ya kurahisisha kufika Mars.

Wanasayansi watokapo katika dunia kwanza wafike ISS na hapo waufikie Mwezi kisha waandae mazingira ya vifaa kutoka dunia kufika katika Mwezi.

Hivyo baada ya mpango mkakati wa Mars wanasayansi waunde kituo kipya cha ISS2 baina ya Mwezi na Mars kurahisisha michakato kama ilivyo ISS na Dunia.

Hii itarahisisha vifaa na malighafi zinazotoka katika Dunia kwenda Mars kuwa na Uhakika.

Same itarahisisha usafiri baina ya Wanadamu wa Mars na Dunia, itakuwa unatoka Earth unafikia Moon kwa ajiri ya usalama kisha Mars. Huku ISS ikitizama anga baina ya Earth na Moon pia ISS2 ikitizama anga baina ya Moon na Mars.

Hivyo kutokea Moon tutaweza kurusha Satellite ya ku-operate Moon bila shaka yoyote.

Kufikia 2030 tunaweza kufanya go and return yaani unatoka Earth unapitia Moon katika mapumziko kisha unafika Mars same kwa Mars to Earth. Unaweza kutoka 2 years Earth ukafanya shughuli zako Mars Kisha kurudi Earth after preferably kila 2 years.

Baba Mars, Mama Moon huku Watoto Earth.
Picha kwa hisani ya: isajorsergio Space zikiwa zimetengenezwa isajorsergio Studios.

- Sergi 🐰
Mkuu haya mawazo wazungu wanayo toka miaka ya 90 huko pitia
 
Mars Ina thin atmosphere sio kwamba haina kabisa hivyo juhudi zikifanyika Kuna uwezekano wa kuliongeza na kutandaza hewa ya oxygen kitu hiki kitachukua gharama sana na muda mrefu,ikiwezekana hivyo tu Basi mars patakuwa sehemu ya kuishi.
Iko hivi hili mmea uote ustwa vizuri unahitaji hewa ya carbon dioxide na ikiwa atmosphere yakule ni tiny huoni itakuwa gharama kubwa kutengeneza hewa ya oxygen kupotia mmea huo kulingana na uhitaji wa viumbe jee ni hesabu gani walio piga ya kuweza kutengeneza hewa ya oxygen hiweze kufikia at least 30% na izalishwe carbon dioxide iweze kufika 60% je wataizalosha na nini maana ili ipatikane inahitajika vitu Kama burning material na decaded sijui ndio mwili ulio oza na gas zingine kuchangia
 
Iko hivi hili mmea uote ustwa vizuri unahitaji hewa ya carbon dioxide na ikiwa atmosphere yakule ni tiny huoni itakuwa gharama kubwa kutengeneza hewa ya oxygen kupotia mmea huo kulingana na uhitaji wa viumbe jee ni hesabu gani walio piga ya kuweza kutengeneza hewa ya oxygen hiweze kufikia at least 30% na izalishwe carbon dioxide iweze kufika 60% je wataizalosha na nini maana ili ipatikane inahitajika vitu Kama burning material na decaded sijui ndio mwili ulio oza na gas zingine kuchangia
Kwanza bado mwanadamu hajatia guu lake! Akifika kitajulikana Nini kifanyike ila Cha kwanza ili hayo yote yafanyike watadili kwanza na atmosphere hili si lakitoto Kuna mitambo maalum itatakiwa kusambazwa mars Sasa na ukubwa ilionao hehe! Itafanya kazi muongo mmoja.. hata hivyo si lazima ianze miti hapo ni mitambo kwanza mkuu shughuli Ni pevu
 
Lazima twende na cargo! Ninaposema cargo ni vifaa na machines kama za ujenzi wa 3D ambazo kwa sasa zinaundwa na kuzidi kuboreshwa kwa wingi na ndugu zangu AI Space Factory na ndio zitawezesha ujenzi wa haraka, akinifu na ubunifu wa TERRA.

Pia Rovers mbalimbali zitahitajika kwa uchunguzi zaidi na usaidizi tuwapo kule, alkadharika vifaa na mitambo yakuweza kupambana na radiation au yakutumiwa tuwapo Mars ni muhimu.

Kumbuka Mars hakutokuwapo mipaka (Nchi, Mataifa) kama Earth kwa mujibu wa mikataba na maridhiano ya Russia, UK, US na China.
Kama tu dunia imeshindwa kuwa suluhisho LA kudumu LA radioactive waste, itaweze kuwa na suluhisho LA solar radiation bado safari in ndefu sana
 
Haya masuala yanaenda kimkakati, Hyperloop ni teknolojia yenye kasi zaidi ya Rocket Jets hivyo uhakika wa muda sio tatizo tena.
Asante mkuu kwa kunitoa wasiwasi wa muda.
Mkuu funguka zaidi juu ya teknolojia hii namna inavyeweza kutufikisha Mars kwa njia ya 'short cut'
 
Duniani nafasi bado ipo fikiria zaidi kuunda makazi bara la Antractica ..ikiwezekana huko akili ndo itatanuka zaidi.. dunia haikimbiwi hii..hakuna kiumbe aina ya binadamu kitakachoikimbia dunia hii kwenda kuishi sayari nyengine...never.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kumbuka kuvuja kwa pakacha ni nafuu kwa mchuuzi. Wakiondoka sisi tunapumua,dunia imejaa hii ndugu, ukiwakatisha tamaa ni kujiongezea mzigo.
Kule kwetu kuna msemo, kijana akikuaga anaondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha, mpe mzigo wa baraka kisha msindikize, ukimgomea unaweza kumlisha mpaka ufe au afe yeye.
 
Mkuu isajorsergio nimeona LEXUS nao wameamua kulivalia njuga swala la kuondoka lakini wao wamejikita kwenye safari ya mwezini.
Nimeangalia design zao za LEXUS-LUNAR nikacheka tu. Hivi NASA na SpaceX wamefikia stage gani ya design ya vyombo na logistic ya kwenda huko kuishi? Na vipi yule tajiri Brandon aliyetaka kufanya Space tourism yeye anaanza lini?
 
Mkuu isajorsergio nimeona LEXUS nao wameamua kulivalia njuga swala la kuondoka lakini wao wamejikita kwenye safari ya mwezini.
Nimeangalia design zao za LEXUS-LUNAR nikacheka tu. Hivi NASA na SpaceX wamefikia stage gani ya design ya vyombo na logistic ya kwenda huko kuishi? Na vipi yule tajiri Brandon aliyetaka kufanya Space tourism yeye anaanza lini?
Ubunifu wa vifaa na vitendea kazi kwa asilimia kubwa unaangazia utendaji, mahitaji na muda siyo urembo ndio maana designs mbalimbali zinaonekana kituko lakini kuna sababu katika hilo.

Artis chombo hiki hivi karibuni kitaondoka kwenda Moon na kisha kurudi.

NASA Space Ship hii kwa uhakika kinatarajia kuanza shughuli za kupeleka watalii, watafiti na watu wa media hivi karibuni.

Mpango wa Billionaire kwenda Moon bado upo kama mkataba unavyotanabaisha.
 
Habari,

Ni muda sasa utafiti kuhusu sayari ya Mars umekuwa ukiendelea, na mapitio juu ya utafiti huu unaonyesha Mars ni sehemu ambayo hamna wenyewe.

Hii inaonyesha wazi endapo wanadamu tukizichanga karata zetu vizuri basi tunaweza kuanzisha makazi.

Kupitia makubaliano mbalimbali tayari nia imewekwa kufikia 2024 wanadamu tuwe tumetia timu katika sayari hii nyekundu.

Hivyo tuanze kuifanya kuwa ya kijani kwa maendeleo endelevu ya viumbe hai na ifikapo 2050 tuwe na Mataifa mawili.

Kutokana na mikakati na maazimio mbalimbali kufikia 2022 tuwe tayari tumeanza ujenzi huko kwa teknolojia adhimu ya 3D Printing!

Basi mimi leo nakuja kwenu na mawazo yafuatayo;-

View attachment 1324300

Kupitia picha hii niliyotengeneza utaweza kuona Earth, Moon na Mars pia International Space Station 1&2 pia satellite inayozunguka mwezi.

Naona tuufanye Mwezi kuwa kituo, makutano au hub ya kurahisisha kufika Mars.

Wanasayansi watokapo katika dunia kwanza wafike ISS na hapo waufikie Mwezi kisha waandae mazingira ya vifaa kutoka dunia kufika katika Mwezi.

Hivyo baada ya mpango mkakati wa Mars wanasayansi waunde kituo kipya cha ISS2 baina ya Mwezi na Mars kurahisisha michakato kama ilivyo ISS na Dunia.

Hii itarahisisha vifaa na malighafi zinazotoka katika Dunia kwenda Mars kuwa na Uhakika.

Same itarahisisha usafiri baina ya Wanadamu wa Mars na Dunia, itakuwa unatoka Earth unafikia Moon kwa ajiri ya usalama kisha Mars. Huku ISS ikitizama anga baina ya Earth na Moon pia ISS2 ikitizama anga baina ya Moon na Mars.

Hivyo kutokea Moon tutaweza kurusha Satellite ya ku-operate Moon bila shaka yoyote.

Kufikia 2030 tunaweza kufanya go and return yaani unatoka Earth unapitia Moon katika mapumziko kisha unafika Mars same kwa Mars to Earth. Unaweza kutoka 2 years Earth ukafanya shughuli zako Mars Kisha kurudi Earth after preferably kila 2 years.

Baba Mars, Mama Moon huku Watoto Earth.
Picha kwa hisani ya: isajorsergio Space zikiwa zimetengenezwa isajorsergio Studios.

- Sergi [emoji195]

kitu ambacho mpaka sasa mashirika makubwa kama nasa wameshindwa kufika kwa haraka ni mifumo ya vyombo ambavyo utumia nishati kubwa kutembea kwenda sayari nyengine hata kupelekea mda mrefu kufika chombo chochote.
kama wataweza kuwa na utafiti wa (gravitation magnet motion ) basi hii itafanya hata kufika huko pluto.ni wazo tu katika kufikiria


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kitu ambacho mpaka sasa mashirika makubwa kama nasa wameshindwa kufika kwa haraka ni mifumo ya vyombo ambavyo utumia nishati kubwa kutembea kwenda sayari nyengine hata kupelekea mda mrefu kufika chombo chochote.
kama wataweza kuwa na utafiti wa (gravitation magnet motion ) basi hii itafanya hata kufika huko pluto.ni wazo tu katika kufikiria


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakika, lakini kwa muenendo huu wa ushirika kati ya Elon Musk (SpaceX) na NASA kuna mazuri zaidi yanakuja.

Elon kuja na hii Hyperloop itaongeza kitu.
 
Back
Top Bottom