Picha: Hivi ndivyo tunaweza kwenda sayari ya Mars na kurudi Earth

Hahaha twende tu tutayakabili mazingira huko huko, mbona wazungu walipohamia Amerika walikufa sana kwa magonjwa na leo wapo?

Usiwe muoga hiyo 3D acha huku duniani tukagundue vingine kule. Mazingira wezeshi tutapambana na hali zetu, kwani wewe kabla ya kuvifahamu hivyo ulikuwa huwezi kuishi?
 
Mr. Nanye Go

Miale na mionzi ndio inatufanya tusilale tukitafiti jinsi ya kuiepuka tuwapo huko maana tukifanya kwenda bila hizo zana tutakufa baada ya kuwapo hapo.
 
Mr. Nanye Go

Miale na mionzi ndio inatufanya tusilale tukitafiti jinsi ya kuiepuka tuwapo huko maana tukifanya kwenda bila hizo zana tutakufa baada ya kuwapo hapo.
Hiyo miale unaweza kuta hata haipo, unafahamu wazungu wanasema miale ya jua inaleta kansa?! Wao huko kwao au wakija Afrika hubeba vimafuta Fulani wanaviita SUNSCREEN, lakini sisi tunapuyanga juani kutwa na kansa hazipo.

Unaweza kukuta hata hizo projection zao kuhusu mionzi/miale haipo au ipo ya kawaida kama ya hapa tu lakini wao kukuza mambo hawajambo.

Nakuhakikishia Mars ni kama jumba lisilokaliwa na watu, unakuta lina buibui na mauchafu kibao na hata wengine watakwambia kuna majini au mizimu ilikuwa inaishi humo Lakini unaweza kuta tukafika kule tukasafisha mazingira tukala na kuishi milele, unaweza kuta hiyo miale ndiyo inaponya kifo, hahahaha.

Nakuhakikishia sio kila kitu wasemacho wenzetu ni kweli, kuna mengine ni cultural tu wao hawatumii sisi tunatumia.
We twende milale kitu gani mkuu.
 
Mimi ni moja ya watu tunaondeleza tafiti katika haya masuala, hivyo unaposema miale haipo utakuwa hujatafiti kinagaubaga.

Kwa nini miale ipo?

Miale au mionzi ipo mingi zaidi ikiambatana na joto wakati wa majira ya kuanzia machweo na mawio. Huku usiku kukiwa na baridi karibi pia kwa Kanda ya nusu Kati kwenda juu hadi milimani ya Musk Magharibi. Hivyo hivyo upepo uvumao unanguvu zaidi ya upepo dunia.

Lakini kiuhalisia joto hili utaona linatokea kwa sababu ya mazingira ambayo kiuhalisia hakuwa uoto wa asili kama mimea ya kijani na hata maji pia labda eneo dogo lenye pango inaopodhaiwa kuwa na theruji/barafu.

Hivyo tactically na professionally tumia reference ya Dar es Salaam ambayo haina uoto wa mimea ya kijani au Dodoma. Pia tumia Iringa au Arusha yenye uoto wa asili na kijani.
 
Kina musk waliahirisha kuipiga nuke mars ili kutengeneza atmosphere?
 
Duniani nafasi bado ipo fikiria zaidi kuunda makazi bara la Antractica ..ikiwezekana huko akili ndo itatanuka zaidi.. dunia haikimbiwi hii..hakuna kiumbe aina ya binadamu kitakachoikimbia dunia hii kwenda kuishi sayari nyengine...never.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuanze na daraja la Jangwani, Mkwajuni na Kigogo kwanza ili tuweze kupitisha vifaa kwenda eapoti ya JKN.
 
Hakuna vitu vya namna hii Dunia tu Mubaji wa math no Nani Ushaidi wa Dunia Muumbaji no MUNGU si tunaona Duniani Kila kitu kipo utaenda dayari ingine kwa usafiri gani Muumba wao no Nani Hakuna vitu vya namna hiyo hizo dayari mnazofikiria nyie no Dunia hiyohiyo Mungu katenga mwezi utakaa sehemu yake jua sehemu yake Ushaidi upo Mwenyewe unaona Mambo mengine umeyaona wapi toa ushuuda
 
Kina musk waliahirisha kuipiga nuke mars ili kutengeneza atmosphere?
Ndio ipo postponed! Baada ya Makumpuni private na yake ya kiserikali kuungana na kutafuta njia mbadala.

Makubaliano yaliyofikiwa ni ujenzi wa majengo kwa kutumia 3D Printing hivyo tutaweza kuanza shughuli za kuiondoa radiation, kisha tutatumia majengo ya TERRA for sustainability purpose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…