Picha: Hivi vikaptula vya wanaume wa Dar vipigwe marufuku

Jana pub flani pale tabata niliona mwanaume kakata jeans ya kike zile jeans zenye maua rose usawa wa pajani, ye kaikata chini ya ua, kavaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unamjua aggrey [emoji23][emoji23]
Daaah wanaume ni watu wenye roho ngumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea, nimecheka had nimepaliwa hapa khaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea, nimecheka had nimepaliwa hapa khaaaah.

Angalia usije ukajamba kabisa maana kucheka sana nako ooohhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…