Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nimekuelewa tu ila swali langu hii picha imepigwa na kifaa gani na chenye jina lipiOneni huyu kaka[emoji1313]Hivi mwanaume unavaaje vikaptula vya aina hii?Hii ni aibu kwa taifa wanaume wa dar hapa mlipofika sasa mnataka kufanana na sisi dada zenu au[emoji1313]ndo uvaaji gani huu jameni?
View attachment 1893104View attachment 1893105View attachment 1893106
Huyu jamaa na mizoezi anayopigaga usishangae kusikia eti nae ni mchicha mwi berBiashara matangazo
Huyu kwa kumuangalia tu anaonekana ni mchicha mwiberHuyu jamaa na mizoezi anayopigaga usishangae kusikia eti nae ni mchicha mwi ber
Wao hawaja vaa kabisa ila poa tu, waliovaa robo ni tatizo.Wanaume wa mikoani wakiendelea na shughuli zao za kuvua mamba.View attachment 1893265
Hana cha mazoezi yeyote.,zaidi ya kichurachura..Huyu jamaa na mizoezi anayopigaga usishangae kusikia eti nae ni mchicha mwi ber
Naam Naam, tena uchi yaaaniWanaume wa mikoani wakiendelea na shughuli zao za kuvua mamba.View attachment 1893265
Hawa wangese sana aisee , kuna mmoja niliwahi muona mitaa ya Tabata baracuda aisee , kwa mbali nikadhani dem , kunikaribia hivi kumbe ni dume aisee,Oneni huyu kaka[emoji1313]Hivi mwanaume unavaaje vikaptula vya aina hii?Hii ni aibu kwa taifa wanaume wa dar hapa mlipofika sasa mnataka kufanana na sisi dada zenu au[emoji1313]ndo uvaaji gani huu jameni?
View attachment 1893104View attachment 1893105View attachment 1893106