Picha: Hivi vikaptula vya wanaume wa Dar vipigwe marufuku

Picha: Hivi vikaptula vya wanaume wa Dar vipigwe marufuku

Yaani Dar es salama joto
Toa leso nipepepee (Mkubwa Fella)
Oya Congo joto
Toa leso jipepepee
Oya mzee kunami, jipepee
Oh Ricardo Momo, jipepe
Oya mama Ndangote, jipepe
Eeh Doni Fumbwe, jipepe
Juu juu, jipepe
Juu juu juu, jipepe
Juu juu, jipepe
Juu juu juu, jipepe🤣🤸🐒
 
IMG_20210815_143404.jpg

IMG_20210815_143437.jpg


IMG_20210815_143750.jpg
 
Oneni huyu kaka[emoji1313]Hivi mwanaume unavaaje vikaptula vya aina hii?Hii ni aibu kwa taifa wanaume wa dar hapa mlipofika sasa mnataka kufanana na sisi dada zenu au[emoji1313]ndo uvaaji gani huu jameni?

View attachment 1893104View attachment 1893105View attachment 1893106
wanatutamanisha tu hawa wanaume, hapo samaki samaki wengine wanakuja na pajama, au track-suit ya kulalia alafu unakuta hajavaa chupi yani mchoro wa 'dushelele' unaonekana, mnatutesa sisi mama zeenu!

Vijana mnatutesa
 
Back
Top Bottom