Picha: Hospitali mpya ya chuo cha Kenyatta - mambo faya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809


The Kenyatta University Hospital was officially opened on Monday.

The teaching, referral and research facility has a 650-bed capacity and sits on 100-acres.

It will provide emergency, cardiology, laboratory, gynecology services and oncology services.

Other services include pediatric, surgical and funeral home services.





Also











 
Kamati ya Roho ya kishetani wako wapi???
 
Ni Kama wakenya wote wanaishi Nairobi, mbona county zingine Serikali imepeleka nini cha maana, zaidi ya njaa. China ikija kuchukua chao wataigeuza hii nyumba kua apartment
Huwezi linganisha Kenya na LCD
 
Ni Kama wakenya wote wanaishi Nairobi, mbona county zingine Serikali imepeleka nini cha maana, zaidi ya njaa. China ikija kuchukua chao wataigeuza hii nyumba kua apartment
tuliwaletea story za Mombasa , Kisumu , Nakuru .... mkasema turudi Nairobi kidogo.
 
Tambo za kiboya Sana hizi, ngoja Al Shabab waingie kwenye hiyo hospital ndio mjute kuzaliwa Kenya
 
Kenyatta University teaching Hospital ,yani hata kupanga jina hivyo tu wameshindwa

Emergency Medicine Department or Accidents and Emergency department , nani alikua anaandikia hayo majengo asee.

Kama mlikua hamjui jinsi ya kuandika si mngekuja Muhimbili kuuliza
 
Tambo za kiboya Sana hizi, ngoja Al Shabab waingie kwenye hiyo hospital ndio mjute kuzaliwa Kenya

Takataka. Kengeza kilema kama wewe mwenye underwear mmoja unaimba juu ya al shabab. Kwani ni Mamako, mpuuzi. mwangalie
 
Mwenye picha ya mloganzila aweke hapa tuwazibe mdomo hawa nilifika pale nikahisi niko nje ya nchi mule ndani kusafi kama hotel aisee tumepiga hatua
 
Kenyatta Univeraity teaching Hospital ,yani hata kupanga jina hivyo tu wameshindwa

Emergency Medicine Department or Accidents and Emergency department , nani alikua anaandikia hayo majengo asee.
Shugulika na za Tanzania
 
Sisi Muhimbili kitengo cha moyo cha Jakaya Mrisho Kikwete, kwa miaka mitatu tuu, tumeshafanya upasuaji wa moyo wa watu 3000. Idadi hiyo ni sawa na hospitali zote za Kenya.
Propaganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…