Picha: Hospitali mpya ya chuo cha Kenyatta - mambo faya

Picha: Hospitali mpya ya chuo cha Kenyatta - mambo faya

Kenyatta University teaching Hospital ,yani hata kupanga jina hivyo tu wameshindwa

Emergency Medicine Department or Accidents and Emergency department , nani alikua anaandikia hayo majengo asee.

Kama mlikua hamjui jinsi ya kuandika si mngekuja Muhimbili kuuliza

Bongolala kutoka LDC ambayo haiwezi ongea kiingereza, unajifanya unajua maandishi ya kiingereza.

Maajabu ya Musa.

Nothing wrong with those signage.
 
KU-hospital-aerial.jpg


The Kenyatta University Hospital was officially opened on Monday.

The teaching, referral and research facility has a 650-bed capacity and sits on 100-acres.

It will provide emergency, cardiology, laboratory, gynecology services and oncology services.

Other services include pediatric, surgical and funeral home services.

KU-hospital-main-entrance.jpg


KU-hospital-hallway.jpg


Also



KU-hospital-MRI.jpg





KU-accident-and-emergency.jpg



MAGUFULI angeweza kuwa na mradi kama huu hakiyanani siku ya ufunguzi ANGEHUTUBIA wiki nzima, the way anapenda publicity and media.
 
Sisi Muhimbili kitengo cha moyo cha Jakaya Mrisho Kikwete, kwa miaka mitatu tuu, tumeshafanya upasuaji wa moyo wa watu 3000. Idadi hiyo ni sawa na hospitali zote za Kenya.
For more stupid jokes like this, dial *0055*2#
 
Kenyatta University teaching Hospital ,yani hata kupanga jina hivyo tu wameshindwa

Emergency Medicine Department or Accidents and Emergency department , nani alikua anaandikia hayo majengo asee.

Kama mlikua hamjui jinsi ya kuandika si mngekuja Muhimbili kuuliza
Kizungu kinakuchanganya nini?

Jina kamili ni "Kenyatta University Teaching, Referral and Research Hospital " (KUTRRH)

Alafu hapo pa "Accident and Emergency" hio si department, hio ni wing ya ku treat 'accidents' and 'emergencies' .... Yani hapo unapoona pameandikwa hivyo ndo ambulance itasimama ikikuleta hospitali ukipata ajali..... daktari mkubwa anaesimamia hio "accidents and Emergency wing ndo atakua ako chini ya "Emergency Medicine Department"
 
Ni Kama wakenya wote wanaishi Nairobi, mbona county zingine Serikali imepeleka nini cha maana, zaidi ya njaa. China ikija kuchukua chao wataigeuza hii nyumba kua apartment
this is crazy!! mbona mnakimbia asali na maziwa tanzania kuwa omba omba Kenya!!!
MAKUENI, KENYA: Omba omba sita kutoka Tanzania wakamatwa


Kurzweil

JF-Expert Member

Joined May 25, 2011
rep.png
6,354
point.png
2,000

tanzanian-beggars.jpg


Baadhi yao walikuwa kwenye baiskeli maalum za walemavu lakini walipokamatwa na Askari wa Polisi walilisamama na kujaribu kuwatoroka Polisi

Kati yao Mwanaume ni mmoja na Wanawake 5 waliokuwa wamebeba Watoto mgongoni. Kamanda wa Polisi wa Makueni, Joseph Ole Napeiyan amesema watakaa rumande kupisha uchunguzi

Siku chache zilizopita Uongozi wa Serikali katika eneo la Migori uliitaka Serikali Kuu ya Kenya kuwaondoa omba omba kutoka Tanzania kwani wamekuwa kero
 
Tambo za kiboya Sana hizi, ngoja Al Shabab waingie kwenye hiyo hospital ndio mjute kuzaliwa Kenya
Tanzania: Extremism & Counter-Extremism

mtakua mpo salama pia nyie au sio!!
alshabaab watanzania wapo jela hapa kenya wengi tu!! endeleeni midomo mirefu siku yaja!!
In November 2017, Kenyan authorities arrested two Tanzanians on suspicion of traveling to Somalia to join al-Shabab. The arrests came five months after al-Shabab released a video announcing the graduation of a group of its soldiers, some of whom were Tanzanian nationals. (Sources: Standard Digital, African News)
 
Back
Top Bottom