Wacha kulinganisha hospitali mashuhuri ya Kenyatta na zahanati ndogo ya Muhimbili.Kenyatta University teaching Hospital ,yani hata kupanga jina hivyo tu wameshindwa
Emergency Medicine Department or Accidents and Emergency department , nani alikua anaandikia hayo majengo asee.
Kama mlikua hamjui jinsi ya kuandika si mngekuja Muhimbili kuuliza
Duh kila mtu ni mzungu kwenye hilo picha.
Kwa Afrika kwenye sekta ya moyo ni Afrika kusini tuu ndiyo wanaotushinda.
Kitu kipi?Hakuna kitu hapo
Wanatibiwa na mabeberu 😂 😂 😂Duh kila mtu ni mzungu kwenye hilo picha.
Hio Dodoma university haina hata zahanati wacha hospitali kubwa kama hii? Jengeni zahanati kwanza Dodoma university ndio mje kufungua kinywa humu.mloganzila ni kubwa mara 100 ya hiyo zahanati
Nawataka msiukimbie uzi wenu sawa!?Thread kama hizi ndio huwezi pata pastor na chairman wa kamati ya roho chafu joto la jiwe na Geza Ulole . Wanachungulia tu kwenye dirisha na kumeza machungu bila kusema lolote. Wivu ni kitu kibaya sana.
Nani amekimbia? Sisi tupo hapa. Leta picha ya mroga Nzila hospital.Nawataka msiukimbie uzi wenu sawa!?
As far as the facility is Nairobi has lost its usefulness!Thread kama hizi ndio huwezi pata pastor na chairman wa kamati ya roho chafu joto la jiwe na Geza Ulole . Wanachungulia tu kwenye dirisha na kumeza machungu bila kusema lolote. Wivu ni kitu kibaya sana.
Nop, dodomaIn Nairobi?
The Kenyatta University Hospital was officially opened on Monday.
The teaching, referral and research facility has a 650-bed capacity and sits on 100-acres.
It will provide emergency, cardiology, laboratory, gynecology services and oncology services.
Other services include pediatric, surgical and funeral home services.
Also
Benjamin Mkapa Hospital - DodomaHio Dodoma university haina hata zahanati wacha hospitali kubwa kama hii? Jengeni zahanati kwanza Dodoma university ndio mje kufungua kinywa humu.
Wacha ujinga. Benjamin Mkapa hospital ipo ndani ya Dodoma university? Jibu swali ulivyoulizwa, usijiundie swali lako.Benjamin Mkapa Hospital - Dodoma
View attachment 1248138View attachment 1248139View attachment 1248140View attachment 1248141View attachment 1248142
Naona umeanza kuweweseka mapeeeema. Hebu soma heading ya thread mliyoileta.Wacha ujinga. Benjamin Mkapa hospital ipo ndani ya Dodoma university? Jibu swali ulivyoulizwa, usijiundie swali lako.
Nataka ukasirike kabisa na upasuke paaaWacha ujinga. Benjamin Mkapa hospital ipo ndani ya Dodoma university? Jibu swali ulivyoulizwa, usijiundie swali lako.
Ipo ndani ya UDOM mzee wa kaziWacha ujinga. Benjamin Mkapa hospital ipo ndani ya Dodoma university? Jibu swali ulivyoulizwa, usijiundie swali lako.