Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Zamani kulikuwa na Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu Dodoma ikijulikana kama CDA
Sasa zama hizi za ustawishaji wa jiji la Chato sijui mamlaka yao inaitwaje??
Mje, mtujuze...
Hahahahaha Asante Mkuu, majibu yako kuntu.Hii ni zaidi ya Bugando!
Burigi ni mkoa mpya utakaoanzishwa soon kuelekea nchi kamili.Kanda ya Burigu ndiyo mikoa ipi?
Habari inasomeka kuwa ni hospitali ya rufaa ya kanda ya Burigi
Msata inaungana na dar soon,
Kwa campus ni sahihi kuwa nje ya mji
Ingekuwa Chato ingeshakamilika kitamboSwali langu ni je ile campus ya IFM Msata inaendelea kujengwa?
Mkwere alilaza damu kidogo; halafu katikati ya hiyo campus ya Msata kuna makaburi ya babu zake!!!Ingekuwa Chato ingeshakamilika kitambo
This man is too much of himself (self centered leader)
Bugando ni ya misheni siyo ya serikali. Chato ikikamilika ruzuku itaondolewa Bugando. Huduma za matibabu zitakuwa ghali sana. Wote wa kanda ya ziwa mtalazimika kufuata huduma za bei rahisi Chato referal.Duh....... Mbona ni jirani zaidi kumpeleka mgonjwa Bugando Mwanza ukitokea Geita, kuliko kumpeleka Chato
Hawezi kutuambia anaumia kaburini wakati YEYE ndie alitengeneza imperial presidency and rubber stamp parliament...
Lini tunakwenda hukoChato yapendeza
Nchi yetu yapendeza
Mungu ibariki Tanzania
Milele na milele uishi meko.Picha za Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo imewekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita leo tarehe 11 Januari 2021.
View attachment 1674987
View attachment 1674824
View attachment 1674825View attachment 1674826
View attachment 1674834
Kwahiyo wanataka kuifunga Bugando ?Kwa mujibu wa wizara ya afya ni kwamba hospitali ya Rufaa ya Chato itahudumia takribani watu milioni 18....
That's the classic catch-22 the contry is and will be engulfed in for decades to come.Alizidiwa na hofu ya CCM kuondolewa madarakani endapo katiba ingerekebishwa kusimamia misingi thabiti ya demokrasia.
“I can’t let my country go to the dogs”. Alisema. Naona hadi dakika ya mwisho hakuamini chama kingine nje ya CCM kushika madaraka pamoja na kujua hatari ya katiba iliyopo kwa Rais atakayekuwa na hulka ya udikteta.
Wote ni walewale sijaona tofauti kati ya Bugando na MuhimbiliBugando ni ya misheni siyo ya serikali. Chato ikikamilika ruzuku itaondolewa bugando. Huduma za matibabu zitakuwa ghali sana. Wote wa kanda ya ziwa mtalazimika kufuata huduma za bei rahisi chato referal. Nakumbuka kuna mbunge mmoja wa mikoa ya kusini alihoji umuhimu wa kuwa na referal hosipital 2 kanda ya ziwa wakati kule mtwara na lindi hakuna hata moja majibu aliyopewa na speaker ni Mungu mwenyewe anajua. Ila kwa hayo mabunduki niliyoyaona hapo kwenye uwekaji jiwe la msingi mhhhh.