Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Ok, sasa nimeelewa. Kibao hapo kwenye construction site kinasomeka kuwa client ni Chato District Council. Kumbe ni hospitali ya halmashauri wameamua iwe ya tofauti sana na halmashauri zingine, na hata jina wakataka isomeke ni ya rufaa ya kanda!