Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Maamuzi magumu ni kuelekeza miradi mikubwa ya maendeleo nyumbani kwako? Hakuna Wilaya iliyopata miradi mingi kama Chato nchi hii! Sasa huo kama sio upendeleo ni nini?Na iwe tu.....
Lowassa alisifiwa na kujisifu kwa MAAMUZI MAGUMU....
Watanzania waliyataka hayo maamuzi MAGUMU....
JPM anakikata KIU CHAO KIKALI.....