Picha: Hospitali ya Rufaa ya Chato iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Filipe Nyusi. Kuhudumia takriban watu milioni 18 mikoa ya Kanda ya Ziwa

Na iwe tu.....

Lowassa alisifiwa na kujisifu kwa MAAMUZI MAGUMU....
Watanzania waliyataka hayo maamuzi MAGUMU....

JPM anakikata KIU CHAO KIKALI.....
Maamuzi magumu ni kuelekeza miradi mikubwa ya maendeleo nyumbani kwako? Hakuna Wilaya iliyopata miradi mingi kama Chato nchi hii! Sasa huo kama sio upendeleo ni nini?
 
Hakika ni msaada mkubwa kwa watu wa kanda ya ziwa ambao wapo mbali na Bugando. Nimeona ipo karibu na ziwa nashauri pawekwe kiutalii zaidi ili kusudi wagonjwa wawe wanarelax
Hospital ipo karibu na ziwa ni fursa kiutalii sehem iwe vizuri ili wagonjwa na watu wanaokuja wawe wanapata utulivu na kurelax na eneo liwe wazi lisiwe block mbele kusudi kupata view
 
Lugha za kibaguzi, ccm mtaifanya nchi hii kimwagika damu, maana ipo siku watu watachoka.
Mioyo yao itageuka na kutaka kulipa kisasi, ikishasema liwalo na liwe kutakuwa na mito ya damu.

Kuamini kuwa mna nguvu kuliko wananchi ni UPUMBAVU

Kuamini mna Mungu huku mnawabagua wengine
ni UPUMBAVU

Kuamini Mungu yupo Tanzania tu, na yupo kwaajili ya ccm tu, NI UPUMBAVU USIOTIBIKA
 
Sio warudi mikoani bali waende Chato! Yanayofanyika Chato hayajashuhudiwa wilaya yoyote nchini!
 
Hakika ni hatua kubwa mno ITAKAYOPIGWA.

Kuhudumia wananchi milioni 18 wa nchi hii si jambo DOGO haswaaa.

Tunategemea mengi yatafanywa na kuachwa kama LEGACY kwa ajili yetu wananchi kipindi hiki cha awamu ya 5.
Ina maana kwa idadi ya watanzania hospitali tatu kama hizo zinatosha!!!
 
Hivi nilikuwa sijui kumbe pale Chato ni katikati ya mikoa 6 ya kanda ya ziwa.

Maana yake ni kwamba itakuwa rahisi watu kufika pale kutoka kila upande.

Ninachojua, hii hospitali itakuwa ya mfano ndani ya miaka hii mitano. Itapata support yote ya serikali na high class vifaa tiba ila bada ya mitano hii sijui kitakachofuata
 
Duh.. Utakuta huyu nae ni msomi ana digrii alafu kaandika huu utopolo
 
Tanzania ni ya wote. Sasa kama wasukuma hamtaki kusoma tuwafanyeje? Wachaga tutakuja kuwahudumia
 
Hivi kusini wana Hospitali kubwa ama ya Rufaa yoyote yaani Ruvuma, Lindi, Mtwara pamoja na maeneo ya nyanda za kusini. Maana sijawahi kusikia na kama haipo si ingekuwa vyema nao wakapatiwa
Mashangazi wanajitibia na maua ya Korosho
 
Bado Chato University College Of Healthy And Allied Science (CUCHAS)
Kasema hatua planned zote zikamilike kwa pamoja, si jambo dogo, ukisikia vision waziri wa afya itakutakuwa mbali ya huduma bigwa, chuo cha tiba na utalii wa tiba...Burigi Chato....Huenda ikawa ya kipekee Africa, ushauri wangu tukawekeze Chato.
 
Ulishawahi ona Kijiji Cha Mabutu, baada ya kupinduliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…