Bk mjini hata stendi ya mkoa wenye watu 3m haipo zaidi ya kichochoro Tu.Dar dude Kama hili lingesimamishwa bk mjini lingesaidia Sana, kutatatu kero za referal toka wilaya za pembezoni,
Wewe utakuwa siyo mzareendoNiache kwenda Bugando nifunge safari kwenda CHATO?
Na BOTBado Chato University College Of Healthy And Allied Science (CUCHAS)
Badala ya kumaliza fedha pale Dodoma afadhali sasa tuwekeze pale chatouKwann asitoe amri taasisi zote zijenge makao makuu kule hii inawezekana
Msinipangie!Duh....... Mbona ni jirani zaidi kumpeleka mgonjwa Bugando Mwanza ukitokea Geita, kuliko kumpeleka Chato
Na watoto wakali sema ndio hivyo beki hazikabi, kama za Arsenal tuChato kumenoga wakuu
Nyie si mlimchagua yule jamaa aliyeamua na kukimbia chama chenu..Bk mjini hata stendi ya mkoa wenye watu 3m haipo zaidi ya kichochoro Tu.
Anyway chato sio mbali na bukoba kiviile
Sasa hivi kuna mbunge wa CCM anaitwa ByabatoNyie si mlimchagua yule jamaa aliyeamua na kukimbia chama chenu..
Subiri chief atawajengea stand ya kisasa.
Watu wasioelewa vitu vyepesi hujibiwa kwa maswali bwashee!Jibu swali langu bwashee!
Kwa nini unaamini ni ushauri mbovu na sio maamuzi yake mwenyewe?Mambo mengine unaona kabisa ni ushauri mmbovu,...... Kuna wakati watu inabidi wamwambie ukweli ata kama wanaupenda uwaziri.
Mimi ninachopinga ni ule uwanja wa ndege. Nadhani haukuwa wa lazima kabisa. Zile pesa zingeenda Mwanza kujenga temino ya kisasa au zikaenda Dodoma kuuboresha uwanja wa ndege pale.Ni Nani asiyejua kuwa BUGANDO HOSPITALI ilizidiwa kwa kukosekana HOSPITALI KUBWA ZA RUFAA kule Mara na Shinyanga?!!!
1.JPM amewajengea wanaMARA ambao waliteseka toka UHURU....
2.JPM amewaongezea wanakanda hapo CHATO GEITA......
3.Kule Mtwara amejenga HOSPITALI KUBWA YA RUFAA itakayowahudumia wanaKusini....
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
HAKIKA NI HATUA KUBWA MNO...TENA MNO!!!
Bado uwanja wa kimataifa wa mpira wa miguu utajengwa Chato, game za Taifa Stars nyingine tutaenda kuangalizia Chato!Mimi ninachopinga ni ule uwanja wa ndege. Nadhani haukuwa wa lazima kabisa. Zile pesa zingeenda mwanza kujemga temino ya kisasa au zikaenda Dodoma kuuboresha uwanja wa ndege pale.
Hapa kwenye hospitali nakubaliana na Rais kabisa. Wasukuma ndo kabila kubwa zaidi Hapa nchini. Kanda ya ziwa ndio eneo lenye watu wangu kuliko yote nchini. Kiwa na hospitali ya rufaa moja tu pale mwanza ilikua haikidhi mahitaji kabisa.
Kuwa na hospitali za rufaa tatu. Karibu Karibu kama hivi, yani chato, mwanza na musoma. Kutasaidia sana kuipunguzia bugando pressure. Yani ilikua imezidiwa kabisa.
Ndiyo maana Nyerere hakutaka Rais atoke makabila makubwa kama Wasukuma.Rais wa awamu ya sita atakuwa Naa kazi kubwa sana.........