Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Bado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)

FB_IMG_17312466357638747.jpg
FB_IMG_17312466517749340.jpg
FB_IMG_17312466629255254.jpg
FB_IMG_17312466823299766.jpg
FB_IMG_17312466890553059.jpg
IMG-20241111-WA0003.jpg
 
Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
 
Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Wizi wa kijinga kama wa hao ni ishara ya kuto staharahika
 
Inatakiwa mfano uoneshwe kwa watu wachache.

Au serikali ipige marufuku vyuma chakavi wakizuia kwa mwaka tu mbona mambo yanakuwa safi

Kingine polisi warekebishe mfumo wa RB uwe nationally kama control number
Usiwaamini hao watu. Wanaweza kutengeneza tukio ili kwa maslahi wanayojua wao.
 
Back
Top Bottom