Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Hao akina Nape, lengo SGR inaonekana kumpa umaarufu Dkt MagufuliWanafyeka nyaya kwa juu, wapuuzi kweli hawa View attachment 3149455
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao akina Nape, lengo SGR inaonekana kumpa umaarufu Dkt MagufuliWanafyeka nyaya kwa juu, wapuuzi kweli hawa View attachment 3149455
Kama wewe ulivyo mpumbavu na mjinga, nenda kawatoe wezi wenzio hukoPumbavu!
Mtu akishakuwa mpumbavu hawezi kuwa mjinga tena. Ujinga kwa mpumbavu ni promosheni mwanangu.Kama wewe ulivyo mpumbavu na mjinga, nenda kawatoe wezi wenzio huko
Kikwete ameibaje gesi yetu?Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Hujui!!!! Kaingia mikataba feki na ya kiwizi kwa faida yake na majiziii wenzake.Kikwete ameibaje gesi yetu?
Weka details hapa tuzione. Jina la mradi na terms za mkataba.Hujui!!!! Kaingia mikataba feki na ya kiwizi kwa faida yake na majiziii wenzake.
Utakamatwa ukatoe ushaidi bibieWewe na wanzako si huwa mnajigamba kwa kumuua Dkt Magufuli, yaani ni kama Nape ambavyo huwa anatembea kifua mbele akijua Dkt Magufuli kamuua na hakuna wa kumfanya kitu hahaha
Nikiwa nachomeka yeye kazi yake kuchomoa kila nikichomeka yeye anachomoa, sijui huu waya umemfanya nini huyu Tumbili mwituWanatakaje Hao
Isitembee Ama Nini
Wakukamatwa wapo wengi mno siyo mimi, mfano tu Nape aliwahi nukuliwa kusema Mungu kaamua ugomvi akimaanisha kifo cha Dkt Magufuli.Utakamatwa ukatoe ushaidi bibie
Siyo kweli kwamba wakati wa Magufuli hujuma au wizi zilisimama. Acheni kuabudu binadamu. Hata Biblia kwenye Yeremia 17:5 inasema "BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake"Wewe una wivu. Kuwa mzalendo na wewe ili utetewe hata kama umebaki
Mifupa. Sisi ni watatezi orijino wa Dkt Magufuli, tulimsemea yaliyo mema akiwa hai na sasa akiwa mifupa, alikuwa mzalendo na tunampenda! Pole sana kama ulidhani mukimuua eti umaarufu wake utashuka no no he is more relevant and famous kuliko hata alivyokuwa hai.
Ni kweli Mungu alifanya maamuzi yenye tija. Magufuli alikuwa anaharibu ustawi wa kijamii na kisiasa wa nchi yetuWakukamatwa wapo wengi mno siyo mimi, mfano tu Nape aliwahi nukuliwa kusema Mungu kaamua ugomvi akimaanisha kifo cha Dkt Magufuli.