Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hawa ndio madokta wanaofanya kazi ya kushauri bure. Hata kwa mganga ukienda kilingeni unalipia kwanzaHuo ni uume? Mbona kama ngozi ya mkono?
Ngoja niite jopo tuweze kusaidiana kwenye hili...
Neda hospital mkuu usichukue ushauri humu,hicho ni kitu serious mahali serious. Naogopa zaidi kusikia haviumi wala kuwasha.kitu chochote kisicho cha kawaida mwilini halafu hakina maumivu huwa ni hatari zaidi kuliko kinachoumaHivi vipele nimeviona asubuhi sijui ni nini?
.haviwashi
.haviumi
Naomba kujua vimetokeaje kwenye uume wangu na nifanyeje kuviondoa?View attachment 2939063
Ushauri atapata bure ila matibabu atatoa helaHahaha hawa ndio madokta wanaofanya kazi ya kushauri bure. Hata kwa mganga ukienda kilingeni unalipia kwanza
Oya we jamaa unayeumwa nenda hospitali ya wilaya au mkoa.
Hivi vipele nimeviona asubuhi sijui ni nini?
.haviwashi
.haviumi
Naomba kujua vimetokeaje kwenye uume wangu na nifanyeje kuviondoa?View attachment 2939063
Astakafirullah muhuni aache masihara awahi hospital laa sivyo atakatwa chululuuuHuo ni uume? Mbona kama ngozi ya mkono?
Ngoja niite jopo tuweze kusaidiana kwenye hili.
DR Mambo Jambo
Dr Restart
Lucha
DR HAYA LAND
Dr Lizzy
Dr am 4 real PhD
Dr Matola PhD
Dah kwa haya mapele sitaki tena demuView attachment 2939159
Hii inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na majimaji kutoka kwa mwanamke mwenye haya maambukizi after unprotected sex
Unaweza kutumia condoms Ila WAKATI wa kuivua ukajigusa na majimaji ya mwanamke jua unao..
Na upo very active upo very fasta mkuu yaani ukigusa imo 😊
Ukitumia dozi za moja wapo ya hizi doxycycline,tretracycline, cefixime 200mg ama 400mg atapona..
Hakuna haja ya other strong antibiotics
Kwani huu ni uume?Huo ni uume? Mbona kama ngozi ya mkono?
Ngoja niite jopo tuweze kusaidiana kwenye hili.
DR Mambo Jambo
Dr Restart
Lucha
DR HAYA LAND
Dr Lizzy
Dr am 4 real PhD
Dr Matola PhD
Ilo jopo Sasa duh 😀Huo ni uume? Mbona kama ngozi ya mkono?
Ngoja niite jopo tuweze kusaidiana kwenye hili.
DR Mambo Jambo
Dr Restart
Lucha
DR HAYA LAND
Dr Lizzy
Dr am 4 real PhD
Dr Matola PhD
Basi ni hatari magonjwa yamekaa pabaya sana aiseePia huwa havinaga maumivu na Mara nyingi huu ugonjwa unaupata kwa wingi Sana kwa MALAYA WALE WANAO JIUZA UBANDANI
NA UNAMPATA MWANAUME HATA AKITUMIA CONDOMS SABB YA YALE MAJIMAJI YA MWANAMKE YAKIGUSA LIBOLO Fc