DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Genital Herpes Ni kweli inaweza kuwa HSV1 au HSV2..View attachment 2939159
Hii inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na majimaji kutoka kwa mwanamke mwenye haya maambukizi after unprotected sex
Unaweza kutumia condoms Ila WAKATI wa kuivua ukajigusa na majimaji ya mwanamke jua unao..
Na upo very active upo very fasta mkuu yaani ukigusa imo π
Ukitumia dozi za moja wapo ya hizi doxycycline,tretracycline, cefixime 200mg ama 400mg atapona..
Hakuna haja ya other strong antibiotics
Ilo jopo Sasa duh π
Amesema vimemtoka kwenye uumeKwani huu ni uume?
HIi inaweza Kuwa dermatitis herpetiformis..
au autoimmune blistering disease (pemphigus vulgaris au bellious pemphigoid)
Jaribu kutumia Acycrovir (Tabs na Cream)
Itakusaidia sana
Hua inapona kabisa?nimeona kunamtu hapo juu kasema haviponiGenital Herpes Ni kweli inaweza kuwa HSV1 au HSV2..
Kweli kabisa..
Na ndo maana Dawa huwa ni moja kwa magonjwa yote yenye aina hii
Thubutu ππJopo la watu makini
Amesema vimemtoka kwenye uume
Genital Herpes Ni kweli inaweza kuwa HSV1 au HSV2..
Kweli kabisa..
Na ndo maana Dawa huwa ni moja kwa magonjwa yote yenye aina hii
Wazee wenzangu wa kusuuza rungu shimoni njooni tuoneshane manundu ya Leo.Hivi vipele nimeviona asubuhi sijui ni nini?
Haviwashi
Haviumi
Naomba kujua vimetokeaje kwenye uume wangu na nifanyeje kuviondoa?
View attachment 2939063
Hakuna dawa ya kuua kirusi mpaka sasa hua zinarudi baada ya mda inaweza kua miakaHua inapona kabisa?nimeona kunamtu hapo juu kasema haviponi
Genital herpes Hio, ukaenda hospital Kuna dawa wanakupa kui control, hivi vipele vitapotea na kurudi tena hata baada ya mwaka, kiufupi genital herpes Haina Tiba ya kuimaliza kabisa, ukishapata utaishia nayo mpaka ufe, ila vipele hivyo vitakua vinatokea na kupotea
Mbona wataalamu mnapinganaUkitumia dozi za moja wapo ya hizi doxycycline,tretracycline, cefixime 200mg ama 400mg atapona..
Hakuna haja ya other strong antibiotics
Dr. Kwenye hii case kwa uzoefu wako hawezi tumiaGenital Herpes Ni kweli inaweza kuwa HSV1 au HSV2..
Kweli kabisa..
Na ndo maana Dawa huwa ni moja kwa magonjwa yote yenye aina hii
Huu ugonjwa ni treatable lakini Sio curable
πβοΈ
Vinapona tena kabisa..Hua inapona kabisa?nimeona kunamtu hapo juu kasema haviponi
Ukiviwai vinapona kabisaHua inapona kabisa?nimeona kunamtu hapo juu kasema haviponi
Yeah yuko sahihi kabisa..πβοΈ
Ooh sawaVinapona tena kabisa..
Sasa kama HZ (Shingles) zinapona itakuwa hiyo..
Nimeelewa mkuuUkiviwai vinapona kabisa
na huu ugonjwa kwa wanaume ndani ya masaa 48 after condomless sex ama hata condom sex ukigusa Yale majimaji yaan jua IMO
Unatibika Mbona mkuu Ila inabidi ulikimbie ama ulitibu ilo shimo ulilo li naniliu likakupa herpes kabla ya kurudia ku do MAANA kwa wanawake inakua ngumu kujigundua in early stages..