Picha: Huyu msanii huwa yupo?

Hakuna binadamu asiye na mapungufu .Ila vile vile sifa anazostahili apewe huyu mama hana roho mbaya na ni mkarimu na mpole ni vile tu kuna watu wanatumia fursa hii kufanya kinyume na matwakwa ya jamii
 
Sasa kama hana maamuzi unamuombea ili iweje?
 
Namkubali Sana mh rais samia nje ya siasa hata yeye ni binadamu kuna picha ya Magufuli nikiiweka hapa mtasema ni photoshop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…