Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada zingine chokonozi, changia vibaya uone mwisho wako utakuwaje.
Kati ya hao wawili yupi ni 'album'?.Naiheshimu sana albam,,kuna raha yake kuwa na albam
Inaoneka hapo kastua Nyagi kiasi flani.Ila maza ana jicho [emoji276]
Sasa kama hana maamuzi unamuombea ili iweje?Ila dada yetu Raisi Samia ni mtu muungwana asiye na makuu kabisa, ukweli huu ni lazima tuuseme. Tatizo linaanza pale tu ambapo amezungukwa na kugeuzwa mateka wa genge la majambazi wala nchi, ambao kwa namna moja au nyingine ndiyo wamemuhakikishia usalama wake, dhidi ya lile genge jingine dhalimu.....
Kuna siku huwa namkasirikia mno kwa jinsi mambo yanavyoenda nchini, lakini kila nikifiri kwa uhalisia huwa naishia tu kumuonea huruma. Namuombea Mungu amsaidie na kumtunza.....
NakaziaMwaka gani hiyo picha ilipigwa?
Maisha kotendawili usimudharau usiyemjuaMaisha bwana kama barabara za interchange