Picha: Huyu ndo mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda..!

Umekosa hoja,chadema wote? Una hakika? Hamia tu chadema mkuu itwege.
 
Yule mbunge aliyeuliza swali bungeni kuhusu mtoto, naona atayapata majibu leo.
Ni yule msukuma ambaye ni Mbunge wa Geita nina imani akiona huyo Mtoto lazima atakataa kuwa ni wa Bashite na kudai DNA ipite hapo kuthibitisha Ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…