watoto wengine watunzwe na nani mkuuMtoto baba yako ni miongoni mwa wanasiasa wenye akili sana!
Utunzwe na Mungu mwenyewe.
Kwa ustaarabu wasukuma husema "..... wanafanana kisogoni......"Mbona hawafanani
Wa kwake kweli huyu au alisaidiwa
alikua mkuu wa wilaya tangu miaka saba iliyopita,maana ndoa ina miaka 7Hebu tunyooshe lugha basi. Anaeadhimisha miaka saba ya ndoa yake ni (binadamu) Paul Makonda na sio (mamlaka) Mkuu wa Mkoa. NB. Nadhani hata ndoa yenyewe ilifungwa akiwa bado ni Mkuu wa Wilaya
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake🙏
[/Qni mzuri kauwa
Ukweli mchunguMkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii.
Kitendo cha kupost mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii kimetafasiriwa ni kama kuwananga wote waliokuwa wakimtusi kwamba hawezi kuzalisha.
Ikumbukwe kuwa wakati Paul Makonda anapitia kipindi kigumu cha kutopata mtoto kwa miaka 7 ndani ya ndoa kuna kundi la watu likiongozwa na Gwajima, Mange Kimambi ,wauza madawa ya kulevya na Chadema kwa ujumla walikuwa kifua mbele wakifurahia hali hiyo ya Makonda kukosa mtoto !
Yani badala ya kumuombea wao ndiyo wakawa wanashangilia akome kabisa asiyezaa huyu !! .
Mungu si athumani leo hicho kikundi cha watu ndiyo wanapata wakati mgumu na aibu ya kulike picha za mtoto wa Makonda mitandaoni.
Mwanao huyo ...siyo mdogo wako....ungekuwa under 16 labdaMdogo wetu mzuri. Mungu amjalie afya njema Keegan