Picha: Huyu ndo mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda..!

Picha: Huyu ndo mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda..!

Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake🙏

Hongera sana Paul Makonda kwa kupata zawadi ya mtoto wa kiume. Kila mtoto ni zawadi nzuri ila pia ni mtu ambae Mungu hutuamini kumpitisha katika familia ili tumlee na kumpa malezi bora, elimu na ku-enhance maadili ili wawe viongozi wa familia kesho, wawe viongozi wa dini, wawe viongozi kwenye siasa, wawe viongozi kwenye jamii kwa lengo la kuiathiri jamii kwa mambo chanya.

Hongera tena familia ya Paul na Maria Makonda kwa kutuletea Watanzania zawadi njema ya mwanaume aitwae Keagan
 
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kitendo cha kupost mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii kimetafasiriwa ni kama kuwananga wote waliokuwa wakimtusi kwamba hawezi kuzalisha.
Ikumbukwe kuwa wakati Paul Makonda anapitia kipindi kigumu cha kutopata mtoto kwa miaka 7 ndani ya ndoa kuna kundi la watu likiongozwa na Gwajima, Mange Kimambi ,wauza madawa ya kulevya na Chadema kwa ujumla walikuwa kifua mbele wakifurahia hali hiyo ya Makonda kukosa mtoto !
Yani badala ya kumuombea wao ndiyo wakawa wanashangilia akome kabisa asiyezaa huyu !! .

Mungu si athumani leo hicho kikundi cha watu ndiyo wanapata wakati mgumu na aibu ya kulike picha za mtoto wa Makonda mitandaoni.
Nasikia wewe ndiye mama wa huyo mtoto
 
Hongera sana mheshimiwa Paul Makonda.

Very cute and charming boy.
 
Back
Top Bottom