maisha ya mtandaoni kwa kiongozi ni aibu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijui
Mwanaume hazai ww bali anazalishaSi walisema rc hazai, imekuaje tena anamtoto
Watu wengine bana sijui umekula maharahe ya wapi! anaezaa ni muke wake tuu ndo anapaswa kupewa hongela.Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii.
Kitendo cha kupost mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii kimetafasiriwa ni kama kuwananga wote waliokuwa wakimtusi kwamba hawezi kuzalisha.
Ikumbukwe kuwa wakati Paul Makonda anapitia kipindi kigumu cha kutopata mtoto kwa miaka 7 ndani ya ndoa kuna kundi la watu likiongozwa na Gwajima, Mange Kimambi ,wauza madawa ya kulevya na Chadema kwa ujumla walikuwa kifua mbele wakifurahia hali hiyo ya Makonda kukosa mtoto !
Yani badala ya kumuombea wao ndiyo wakawa wanashangilia akome kabisa asiyezaa huyu !! .
Mungu si athumani leo hicho kikundi cha watu ndiyo wanapata wakati mgumu na aibu ya kulike picha za mtoto wa Makonda mitandaoni.
Katoto kazuri ila kapata baba wa ajabuMkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake[emoji120]
"Baba wa ajabu kwako ila ni baba wa maana kwake" Daughter zingatia hii kanuni katika maisha yako hapa duniani utapata kuishi vyema sana na kwa miaka mingiKatoto kazuri ila kapata baba wa ajabu
naye atakuwa na kithembe sio ?Dogo kafanana na mshua hasa mdomo na ulimi.
Pongezi kwao.
Sikatai ni wa maana kwake ipo wazi sijabisha. Huyo mtu ni wa ajabu na dunia nzima inajua lazima niseme ndo maoni yangu."Baba wa ajabu kwako ila ni baba wa maana kwake" Daughter zingatia hii kanuni katika maisha yako hapa duniani utapata kuishi vyema sana na kwa miaka mingi
Mbona hawafanani
Wa kwake kweli huyu au alisaidiwa
Hakika bao la mkono limerejesha heshima kwenye ndoa.
Hongera kwao.
tukaombee haka katoto, maana Biblia inasema " nitawapatiliza uovu wa baba zenu mpaka kizazi cha nne"Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake🙏
Hebu kageuze tuone makalio, picha ya nyuma tafadhli
yule bado kijana mdogo. Amemzalisha mudada ya watu mutoto ya kwanza akiwa madarakani muache ajidai ringa bana ringa km ni wako muwacheni atulize machungu na vichambo vya kiswahilimaisha ya mtandaoni kwa kiongozi ni aibu sana