Picha: Huyu ndo Trainer anayedaiwa ku cheat na zari

Kumbe we ni demu...
 
"Niliahidi kuwa, kabla sijaondoka madarakani nitaongeza mishahara ya wafanyakazi. Lakini muelewe ndugu zangu kuwa, bado sijaondoka madarakani."- Rais Dkt Magufuli https://t.co/y5l95xAqvW

[emoji28] Mzee baba noma
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Eti mimi nilikuwa mwalimu nikaoa mwalimu ambaye anazijua changamoto hizi.

Serikali inawapenda wafanyakazi

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Binamu hebu nifafanulie, Mondi hawafikii hao jamaa kwenye kunyanyua vyuma au hawafikii kwenye nini?
 
Trainer kavaa skin jeans

Wakaka wa hivi unaweza kukuta naye ana bwana ake
Joanah nimekupenda bure, nimemuuliza binamu Warumi kwamba Mondi hawafikii hao jamaa kwenye kupiga gym au hawafikii kwenye nini? Namsubiri anijibu ili niulize swali dogo la nyongeza.
 
Huyo trainer ni handsome hatari aisee yuko vzuri
 
Wanatumiana kupata mtu wa kukidhi haja zako za mwili si jambo lakubeza hata kidogo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…