Picha: Idadi ya HAMAS wanaojisalimisha huku wakiwa uchi yazidi kuongezeka, baada ya kiongozi wao katoweka

Picha: Idadi ya HAMAS wanaojisalimisha huku wakiwa uchi yazidi kuongezeka, baada ya kiongozi wao katoweka

Ukiona hivyo katafuta kote hadi kwenye magazeti ya udaku Hadi kibera huko hola!

Hawa watu wanachuki sana na waarabu/waislamu na kuupiga vita uislamu, hivyo usitegemee wawe upande wako ewe ndugu yangu brazaj
 
Wapewe chakula kwanza maana hapo najua wanakua njaa, wameogopa kuwahishwa kwa mabikira kule akhera...

567890


Dozens of Hamas terrorists lost contact with the terror group's leadership, leaving them with no option but to lay down their weapons and surrender to Israeli forces in the Gaza Strip, Army Radio reported on Sunday morning.

After images of stripped terrorists in Jabalya and Khan Yunis circulated on social media, reports emerged that the IDF is "identifying changes in Hamas leadership's conduct."
Watulie waache porojo kila siku idf wanazika wanajeshi wao tu acha inyeshe tuone panapovuja kama hadi leo wameahindwa kuwaokoa watu wao hawana jipya ni mashogaa kama mashoga wengine tu huku hezbollah na houthi wanawasubiri mwaka huu mpaka waseme manina zao
 
Hawa watu wanachuki sana na waarabu/waislamu na kuupiga vita uislamu, hivyo usitegemee wawe upande wako ewe ndugu yangu brazaj
Vp kuhusu chuki za maarabu na maislamu dhidi ya wakrsto na wayahudi kama maelezo ya mungu wao wa kiarabu wanavyosema...
Arabu kooote na nchi za kiislamu kumejaa jews phobia na chrstian phobia...
Kwahiyo ni sawa na wao kuchukiwa na wakrsto na wayahudi na wahindi
 
Watulie waache porojo kila siku idf wanazika wanajeshi wao tu acha inyeshe tuone panapovuja kama hadi leo wameahindwa kuwaokoa watu wao hawana jipya ni mashogaa kama mashoga wengine tu huku hezbollah na houthi wanawasubiri mwaka huu mpaka waseme manina zao
Hamas hawaziki wanajeshi wao mkuu???
Au vitani wanakufaga IDF tu....!!
 
Vp kuhusu chuki za maarabu na maislamu dhidi ya wakrsto na wayahudi kama maelezo ya mungu wao wa kiarabu wanavyosema...
Arabu kooote na nchi za kiislamu kumejaa jews phobia na chrstian phobia...
Kwahiyo ni sawa na wao kuchukiwa na wakrsto na wayahudi na wahindi

Usome Uislamu vizuri upate kujua
 
Baada ya IDF kupita mtaa kwa mtaa sasa ni nyumba kwa nyumba
Mbona magaidi wataelewa
 
Hawa watu wanachuki sana na waarabu/waislamu na kuupiga vita uislamu, hivyo usitegemee wawe upande wako ewe ndugu yangu brazaj

Umbumbumbu wa kutojua kitu haki ni tatizo sugu Africa ndiyo maana hata katiba mpya tutachezeshwa sana makida makida
 
Mkuu je hamas na waarabu hawapiki propaganda na picha za kimkakati ili waonewe huruma..
Si walikua wanashangilia October 07 na kutembeza mateka mtaani???
Now wanalilia cease fire
kama HAMAS na waarabu wanapika propaganda kwenye hii vita ndo hao IDF jeshi makini lenye mbwembwe kama zote nao waige huo ujinga???
 
Back
Top Bottom