Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ya kupenda au kupendwa ndo msingi wa tatizo.. kwanini utake kupendwa? Tatizo ni kwamba hatupigi kazi, na hata pale tunapopiga kazi tunachokipata hatukitumii ipasavyo.. Lkn pia sisi ni waongo waongo.Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Huo ukatili waliofanyiwa Congo, usipokwenda kazini mtoto wako anakatwa mguu mbele ya macho yako. Uliwatia woga na kuwafanya waamini mzungu ni superior to them.Tatizo sio wao ni sisi hivi mzungu mmoja weusi 6 wanashindwa hata kumpa kifir…o kweli?. Mfano kaja mjeda kitaa na smg halafu alete ungese mama…e zake.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hata sisi leo bado tupo wapumbavu tu tena kuliko hao babu zetu maana bado tunawabeba wazungu kuliko hata babu zetu walivyowabeba.Tena sisi tukijidai eti tumesoma.Mababu zetu walikua wapumbavu sana
Hivi tatizo no Wazungu au hulka ya Binadamu anapotafuta Mamalaka na Nguvu ...kiuchumi,kisiasa na hata kijamii!Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Hhatuwabebi wazungu tu ...tuna wabeba na weusi wenzetu!Hata sisi leo bado tupo wapumbavu tu tena kuliko hao babu zetu maana bado tunawabeba wazungu kuliko hata babu zetu walivyowabeba.Tena sisi tukijidai eti tumesoma.
Hata sisi leo bado tupo wapumbavu tu tena kuliko hao babu zetu maana bado tunawabeba wazungu kuliko hata babu zetu walivyowabeba.Tena sisi tukijidai eti tumesoma.
Hata sisi tutaitwa wapumbavu na wajukuu zetu, miaka 60 tunatawaliwa na chama kimoja [emoji12]Mababu zetu walikua wapumbavu sana
Wakipatikana viongozi wenye maono mnawauwa na kuwapinga kijuha,acheni tuteseke tuNini kimeendelea hapa Afrika baada ya mzungu kuondoka na kubakia waafrika wenyewe?
Embu fikiria tu, kwa sasa kuna mtawala mmoja wa kike hapa Afrika (chief Hangaya) anabebwa na kuzungushwa kwenye msafara wa zaidi ya magari 70 ya kifahari huku akipepewa na helcopter mbili angani, barabara za miji zikifungwa kwa masaa kadhaa ili kumpisha apite. Yote hayo yanafanyika kwa gharama za kodi za walalahoi wanazolipa baada ya kupindishwa migongo kwa kazi nzito, malipo duni na mzigo mzito wa kodi na utitiri wa tozo.
Bora huyo mkoloni kwenye picha kuliko mtawala wa sasa wa Afrika.
Hapa ndipo ninapowadharau waafrika wenzangu na kujidharau mwenyewe. Je, sisi tumekazwa kuwatendea hivyo? Au kama tumeshindwa kuwatendea au tuna rorho nzuri sana, je, kwa nini tusiwapuuze na tufanye yetu ili kujiletea maendeleo? Mimi nadhani watu kama wewe mnajiliwaza tu au hamtaki ku-face reality i.e. mtu mweusi upeo wake ndipo ulipoishia. Kwa mfano tangu Samia apate urais, matendo na kauli yake kila siku ni kuwa ''sisi wenyewe hatuwezi kuijenga nchi yetu bila kualika wageni''. Rias amekuwa kiguu na njia eti anataka kufungua nchi. Je, wakija na kuanza kujitwalia mali nani alaumiwe?Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Juha ni wewe. Sio wazungu wote ni wabaya.Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...