Picha ilipigwa 1895 Congo Raia wa Ubelgiji akivushwa mto na wapagazi

Picha ilipigwa 1895 Congo Raia wa Ubelgiji akivushwa mto na wapagazi

Juha ni wewe. Sio wazungu wote ni wabaya.
Watu wasichokijua ni kuwa hata harakati za uhuru wa Afrika zilikuwa na mchango wa miongoni mwa hao hao Wazungu.

Haki za Binaadamu kwa sehemu kubwa kuna Watetezi wengi Wazungu, na wanapambana hata kama ni sisi kwa sisi tunadhulumiana na kuuana.

Kumbuka kisa cha 'chenji ya rada', Waswahili wenzenu waliwapiga lakini Wazungu wa huko huko wakaingilia kati pesa ikarudishwa...na tukashangilia maana hata hatujui lolote...sasa Juha ni nani?.

Ubaguzi wa Afrika kusini ni Wazungu Wenzao walishiriki kupingana nao na kuwawekea vikwazo....usidhani kama nguvu zenu pekee zingetosha maana wao wangewaua tu kama Kuku kama sio kuwaogopa Wazungu wenzao.

Uovu hauna rangi, awe Mzungu au hata Baba yako Mzazi anakudhulumu tu.
 
Huo ukatili waliofanyiwa Congo, usipokwenda kazini mtoto wako anakatwa mguu mbele ya macho yako. Uliwatia woga na kuwafanya waamini mzungu ni superior to them.

Kumbuka walikuja na bunduki.
Yule mfalme katili Leopold aliifanya Congo mali yake binafsi kabla ya kuikabidhii baadae kwa serikali ya Ubelgiji.
 
Hivi tatizo no Wazungu au hulka ya Binadamu anapotafuta Mamalaka na Nguvu ...kiuchumi,kisiasa na hata kijamii!
Sidhani Kama huwa tunatafakari vema ktk hili!
Hivi Kuna tofauti gani na hii leo!
Kama kunaa mtu analipwa Kila mwezi Milioni 12, na Kuna watoto wanakaa chini ili wasome!
Au mtu anaendeshwa kwenye Gari la 200+ M ,ana3nda kuzindua tundu la choo lililojengwa na JICA,COICA ,USAID au World Vision!?
Kama Kuna watu wanalipwa mishahara Laki moja ,Hulu posho ya Kujikimu ya Afisa was Serikali no 120,000 kkwa siku au watu wanalipana Extra Duty allowances laki 4 kwa mwezi!
Mimi sioni tofauti ya Ukoloni wa kale na huu wa Sasa!

Ndiyo maana Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwaita "Ni makaburu tu" maana hawana tofauti na MAKABURU wenyewe original kwa hayo wanayofanya.
 
Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Akili zetu zipo duni sana utakuta huyo bebelu ana bunduki Aina ya gobole inatumia risasi moja tu,lakini akili za kusema wamzamishe kwenye maji hawana,Sasa hapo unamlaumu bebelu kwa sababu gani?
No uduni wa akili zetu.
 
Wakipatikana viongozi wenye maono mnawauwa na kuwapinga kijuha,acheni tuteseke tu

Huyo mwenye maono naye msafara wake ulikuwa na zaidi ya magari 100 na alikuwa anadanganya watu kuwa anajenga reli na bwawa la umeme kwa vyanzo vya ndani kumbe anakopa matrilioni nje.
 
Mababu zetu walikua wapumbavu sana
Kizazi chetu pamoja na kusoma historia na kupata muda wa kuichambua lakini bado hakiwezi kufanya maamuzi ya kujisimamia.
Nadhani hiki cha sasa ni dhaifu kuliko hicho cha kale enzi za mababu.
 
Huyo mwenye maono naye msafara wake ulikuwa na zaidi ya magari 100 na alikuwa anadanganya watu kuwa anajenga reli na bwawa la umeme kwa vyanzo vya ndani kumbe anakopa matrilioni nje.
kwanza kukopa sio dhambi

Tofautisha mkopo na msaada mkopo ni pesa yako in advance na inachajiwa riba hivyo mkopeshaji anafaidika pia .

Magufuli hakupenda vimisaada vya mashariti.pia aliitumia barabara misaada kwa miradi ya kimkakati sio kura bata na kazi zake zilionekana kwa jamii nzima.
Mama yako anatembeza bakuri kama enzi za awamu ya nne
 
kwanza kukopa sio dhambi

Tofautisha mkopo na msaada mkopo ni pesa yako in advance na inachajiwa riba hivyo mkopeshaji anafaidika pia .

Magufuli hakupenda vimisaada vya mashariti.pia aliitumia barabara misaada kwa miradi ya kimkakati sio kura bata na kazi zake zilionekana kwa jamii nzima.
Mama yako anatembeza bakuri kama enzi za awamu ya nne
Aliwadanganya Watanzania kuwa anajenga kwa pesa za ndani kumbe anakopa na ameitia nchi kwenye madeni makubwa bila sababu za msingi.
 
Tatizo sio wao ni sisi hivi mzungu mmoja weusi 6 wanashindwa hata kumpa kifir…o kweli?. Mfano kaja mjeda kitaa na smg halafu alete ungese mama…e zake.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
unahangaika tu huko kwa mzungu mbali!! Jiwe! mahiti nzee! inayo tembea imewachakaza nchi nzima mpaka na jeshi waliipata weeee!! Mpaka mkaogopa kutangaza, amekufa!! Mpaka ilipoanza kutoa harufu ndo mkatangaza! tena kwa mashaka tupu!! ile njemba iliwaweza!

make km ungejifanya kimbelembele kutangaza kifo chake! ! halafu ifufuke gahfla heeee! ee!! ungejinyea kabla!! haja kugusa! si unaona alipokuwa akiongea watu wanaufyata mikia nywiii!! utazani msiba!
 
Yawezekana kumbeba Mzungu ilikuwa dili kwelikwel malipo yakutosha

Usishangae waligombania hiyo nafasi ya kumbeba. Kumtawala mtu mpumbavu ni kucheza na akili yake tu
 
Back
Top Bottom