ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
ameyumba mwanetu asemehewe tu, as father I apologize for my sonKwani maudhui ni nini?
Picha ya kuchongwa haiwezi kuwa maudhui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameyumba mwanetu asemehewe tu, as father I apologize for my sonKwani maudhui ni nini?
Picha ya kuchongwa haiwezi kuwa maudhui?
Kwa utafiti gani Ulioufanya?Huyo SYLLOGIST! kuna kitu kimemsibu kinachohusiana na hii picha..!!!
Aagh wapii..!!!Umepanic tu😂😂😅
Kwa maandishi yako ya kubishana na kila anayeona cha kujifunza kwenye picha husika, kisa unahisi ni ya mchongo..!!! Sijui nani kakuambia michongo haina mafunzo..!! Hivi hujawahi jifunza kitu au kupata ujumbe kwenye vikatuni?Kwa utafiti gani Ulioufanya?
👀
😂😂😂
Unalazimisha.
Get a life ndugu achana kushabikia habari na taarifa potofu.Kwa maandishi yako ya kubishana na kila anayeona cha kujifunza kwenye picha husika, kisa unahisi ni ya mchongo..!!! Sijui nani kakuambia michongo haina mafunzo..!! Hivi hujawahi jifunza kitu au kupata ujumbe kwenye vikatuni?
lakini ndio ukweli wenyewePicha hii ni ya Kuchongwa. Ni feki tu na inatumiwa kuleta hisia.
Eti haya nayo ni Maudhui. JF nayo.
CC SYLLOGIST!Wote mnaobisha na kuikataa picha hii mna athari za extended high school kilichoongelewa na Generali ulimwengu.
Mshukuru tu darasa la saba hawana utash katika kuona muda mliopotezea huko ulikotoka, na maprofesa wenu wenye udumavu wa kifkra.
Lazma mjue degree yako haikuzuii kuuza mitumba, kuuza genge, kulima bustani na ufugaji, wenginwenu mnanikera sana.
Wkt flan miaka ilee tunajiunga kwa kufanya matriculation udsm wengine tulipata hasira mno na kuchukia chuo maana ilikuwa ni biashara. Kama sikosei hela ilikuwa ngumu lkn matriculation tsh20,000
Sawa.Kanywe Uji.
Si lazima ikuhusu mkuu..kama ww unanufaika na mfumo jua kuna watu wako in that situation..Picha hii ni ya Kuchongwa. Ni feki tu na inatumiwa kuleta hisia.
Eti haya nayo ni Maudhui. JF nayo.
Aisee ww ni mpumbavu wa mwisho..Unapotumia picha feki au iliyochongwa kuvutia hisia za watu, tayari maudhui hayo yanakuwa ni Misinformation- Ni feki.
Ninaposema Eti haya nayo ni maudhui JF? namaanisha hivyo tu, kwamba sasa JF kuna content za Misinformation na Disin formation.
Wacheni Kupanic
Kwan maudhui n nini??? Au na wew wakuchongwa!Picha hii ni ya Kuchongwa. Ni feki tu na inatumiwa kuleta hisia.
Eti haya nayo ni Maudhui. JF nayo.